Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,232
- 6,479
- Thread starter
- #101
Nahisi mgawanyiko mkubwa ktk Jeshi la Rwanda. Anatambua hali hii pia.Akivamiwa tu na ndani kinanuka
Nahisi mgawanyiko mkubwa ktk Jeshi la Rwanda. Anatambua hali hii pia.Akivamiwa tu na ndani kinanuka
Exit strategy yake itapatikana tuNahisi mgawanyiko mkubwa ktk Jeshi la Rwanda. Anatambua hali hii pia.
Inaanguka kirahisi haswa haswa kama viongozi wake wakiwa vipofu kama wewe.....Inaangukaje?
Hapo hapo tunaitangaza Rwanda kuwa mkoa wetu mpya.Mimi naomba yasitokee maana Jeshi la Rwanda kwa gadhabu na hasira zitarusha mabomu hadi Tanzania na Uganda.
Sio sasa?Hakuna kipindi vita lilikuwa jambo LA kawaida kama miaka hiyo.
Ilibidi siku za mwisho ziwe miaka hiyo.
Upo dunia gani mkuu?Kama israel na marekani na ulaya magharibi wote wameshindwa pale gaza eneo sawa na kisiwa cha ukerewe. Wataweza hao warundi na wakongo kuivamia nchi yenye ukubwa wa mikoa mitatu ya tanzania? Kwa uchumi gani walionao sasa
Nafikiri umeelewa point mkuu.Sio sasa?
Upuuzi mwingine utafikiri umekunywa pombe za kienyeji,Yaaani,
Kutakuwa na shida ya kiuchumi mpk hukunkwetu
Story za vijiweni ndo unaleta huku, endelea kuuza ghahawa shehe,,Majasusi wake wanalala mitaa ya Mzizima wanafanya wanachotaka(operation) wanaondoka unnoticed, unasemaje?
Tushukuru Mungu Tanzania hatuna changamoto za Kiusalama mambo yangekushangaza.
Hii jumuia ni ya kipumbavu na ivunjike tuKiashiria kuwa EAC ni jumuiya inayoenda kuanguka kabla haijaimarisha misingi
Lisemwalo lipoStory za vijiweni ndo unaleta huku, endelea kuuza ghahawa shehe,,
Ni sahihiHivi unaujua ukubwa wa nchi ya Rwanda na ukubwa wa mikoa ya Tanzania? Ngoja nikutoe tongotongo kidogo. Mkoa wa Manyara tu unaukubwa wa 44,522 sq.km, na kwa ukubwa ni unashika nafasi ya saba, ikizidiwa na mikoa Kama Tabora, Singida, Songea,Tanga, Lindi na Kigoma. Wakati huo Rwanda ina ukubwa wa 26,338 sq.km.
Kiufupi Rwanda inakaribiana kiukubwa na mikoa midogo ya Tanzania Kama Kagera, Geita au Simiyu. Mkoa ambao Rwanda inaweza uzidi kwa ukubwa ni Dar es salaam View attachment 2860589
View attachment 2860593
View attachment 2860594View attachment 2860595
Ukubwa Si kigezo pekee,Hivi unaujua ukubwa wa nchi ya Rwanda na ukubwa wa mikoa ya Tanzania? Ngoja nikutoe tongotongo kidogo. Mkoa wa Manyara tu unaukubwa wa 44,522 sq.km, na kwa ukubwa ni unashika nafasi ya saba, ikizidiwa na mikoa Kama Tabora, Singida, Songea,Tanga, Lindi na Kigoma. Wakati huo Rwanda ina ukubwa wa 26,338 sq.km.
Kiufupi Rwanda inakaribiana kiukubwa na mikoa midogo ya Tanzania Kama Kagera, Geita au Simiyu. Mkoa ambao Rwanda inaweza uzidi kwa ukubwa ni Dar es salaam View attachment 2860589
View attachment 2860593
View attachment 2860594View attachment 2860595
Jamaa eti mikoa mitatu,angeitajaMikoa gani mitatu?? Labda Dar-es-Salaam, mkoa wako na mkoa wa Bwanako
Asijaribu kabisa kuigusa tanzania itamchakaza siku tu hiyo rwanda kama mkoa wa tanga tuMimi naomba yasitokee maana Jeshi la Rwanda kwa gadhabu na hasira zitarusha mabomu hadi Tanzania na Uganda.
Wameajiandaa kufanya hivyo, muda utaongea.Vita siyo nzuri ila drc na Burundi natamani wamchape kagame hafai