Tetesi: Congo DRC na Burundi wanadaiwa wapo mbioni kuivamia Rwanda

Hivi unaujua ukubwa wa nchi ya Rwanda na ukubwa wa mikoa ya Tanzania? Ngoja nikutoe tongotongo kidogo. Mkoa wa Manyara tu unaukubwa wa 44,522 sq.km, na kwa ukubwa ni unashika nafasi ya saba, ikizidiwa na mikoa Kama Tabora, Singida, Songea,Tanga, Lindi na Kigoma. Wakati huo Rwanda ina ukubwa wa 26,338 sq.km.

Kiufupi Rwanda inakaribiana kiukubwa na mikoa midogo ya Tanzania Kama Kagera, Geita au Simiyu. Mkoa ambao Rwanda inaweza uzidi kwa ukubwa ni Dar es salaam View attachment 2860589
View attachment 2860593
View attachment 2860594View attachment 2860595
Ni sahihi
 
Hivi unaujua ukubwa wa nchi ya Rwanda na ukubwa wa mikoa ya Tanzania? Ngoja nikutoe tongotongo kidogo. Mkoa wa Manyara tu unaukubwa wa 44,522 sq.km, na kwa ukubwa ni unashika nafasi ya saba, ikizidiwa na mikoa Kama Tabora, Singida, Songea,Tanga, Lindi na Kigoma. Wakati huo Rwanda ina ukubwa wa 26,338 sq.km.

Kiufupi Rwanda inakaribiana kiukubwa na mikoa midogo ya Tanzania Kama Kagera, Geita au Simiyu. Mkoa ambao Rwanda inaweza uzidi kwa ukubwa ni Dar es salaam View attachment 2860589
View attachment 2860593
View attachment 2860594View attachment 2860595
Ukubwa Si kigezo pekee,

Hujiulizi Israel Ina ukubwa gani?
 
Back
Top Bottom