Conflicts katika mahusiano huimarisha mapenzi

Ramos

JF-Expert Member
May 13, 2010
498
130
Hii sio conclusion bali ni kitu cha kudiscuss
Kwa ambao wameshakumbwa na hali kama hii wanaweza kuwa katika nafasi nzuri zaidi ya kucoment. Kuwa katika mahusiano ya wapenzi au wanandoa, kuna point inafika emotions kati yao zinafifia, kila kitu kinakuwa biznez as yuzho...
Lakini ikitokea wawili hawa wakakwaruzana kwa bahati mbaya, then wakasuluhisha, mapenzi na emotions hufufuka upya.
Sio jambo la ajabu kuona mtu na mke wanaishi kwa 'amani', lakini hakuna vionjo kama zile saprize za outings, vijizawafi n.k. Lakini wawili hawa kama kumetokea ugomvi baina yao, mara baada ya kuusuluhisha, then utaanza kuona vijisafari vya kwenda kula pizza, vijizawadi na hata ile kuitana baba fulani au mama fulani kila siku, hubadilisha na mara kadhaa utaanza kusikia majina dear, my love n.k.
Kwa walio wachumba/wapenzi, nao mapenzi hukolezwa mara baada ya siku kadhaa za kuchuniana, kununiana au hata kuachana kutokana na conflicts za hapa na pale then wakazisuluhisha...

Toa experience yako tafazal
 
Sijui sana, lakini kama kuna machaguo kati ya harmony na conflict nitachagua harmony.

lakini some conflict zina msaada kwa kiwango fulani katika kumjua mwenza wako vizuri, hasa kujua jinsi gani anavyokuwa akiwa ameudhika, na kama mkisuluhishana husaidia kujua pia njia gani mnazoweza kufikia katika kusuluhishana na kusameheana.

Na kama ulivyosema, mara nyingi mkipatana mnajitahidi kumake up for the time lost hivyo bliss kwenye mapenzi inaongezeka.

Lakini frequent conflicts na zisizokuwa resolved zinauwa mapenzi kabisa. So conflict management ni muhimu sana kwa wapenzi au mahusiano yoyote yale.
 
Ramos umenikumbusha mbalii! miezi sita iliyopita tuligombana na shemejio hadi kutaka kuondoka hapo home lakini baada ya kusuluhishana wenyewe ndio penzi likawa kama limeanza upyaaaa! tukaanza trip za mbali mara serengeti mara zanzibar duh we acha tu! sasa hizo sms tunazotumiana kutwa nzima tukiwa kila mtu ofisini kwake hadi raha.
 
Sipendi kugombana na mpezi wangu na sijawahi hata siku mj 4years maana it cost me alot sipendi hata kugombana na mtu yyte cna experience kwa hili
 
Duh! Nimegombana na mpenzi wangu, lets say tumeachana, but i know if she will be back...penzi litakuwa na tension sana...i love that way but it hurts.
 
Back
Top Bottom