Ha haaaa, ulidhani BAK anakuunga mguu? Hilo la kwako ndugu yanguMkuu nimesoma hizi lyrics za huo wimbo ila (bado) sioni uhusiano wowote na mada husika: USHER LYRICS - Dive
Tumedanganywa kwa muda mrefu eti oo huwezi kupenda wawili kwa wakati mmoja, kumbe inawezekana aisee
Tumedanganywa kwa muda mrefu eti oo huwezi kupenda wawili kwa wakati mmoja, kumbe inawezekana aisee
Unapenda wawili wewe eeh! hongera zako Mkuu, halafu 2013 utarudi tena hapa kumbe unaweza kupenda watatu hahahaha lol! ni waongo wote waliosema kikomo cha kupenda ni wawili tu lol!...Utamweza BAK na nyimbo zake? Saa nyingine zina uhusiano na mjadala husika na wakati mwingine ni kuchangamsha jamvi tu. :fencing:
Siku na kazi Njema Wakuu FP & Companero
Tumedanganywa kwa muda mrefu eti oo huwezi kupenda wawili kwa wakati mmoja, kumbe inawezekana aisee
Hongera, l am sure na hao wawili uliowapenda nao wanaweza penda wawili wawili na hao wapenzi wao nao wanapenda wawili wawili na mtandao unakuwa, hasa ukizingatia '....one of them wawili might not honestly be returning the love back'
mbona ham-deal na fact, mko kwenye denialism tu
Yaani wewe kaka yangu! I saw this coming!
But in the end, the downfall will be more painful than pain itself. I really hope you will be able to take the punch. And i really hope some more, that you calculated the risks well enough.
You can do anything in this world, as long as you are prepared to face the cosequences. Source: mama king'asti
There is lust,
and there is love.
Which facts?
Umempenda mtu hajakupenda in return kama ulivyotegemea, una mawili kuvumilia au kumuacha na kujifunza kumpenda anayekupenda.
Au unachanganya na kumtamani mtu, au kumuadmire?
Unapenda wawili wewe eeh! hongera zako Mkuu, halafu 2013 utarudi tena hapa kumbe unaweza kupenda watatu hahahaha lol! ni waongo wote waliosema kikomo cha kupenda ni wawili tu lol!...Utamweza BAK na nyimbo zake? Saa nyingine zina uhusiano na mjadala husika na wakati mwingine ni kuchangamsha jamvi tu. :fencing:
Siku na kazi Njema Wakuu FP & Companero