Ndiyo msimamizi katangazi.... Rasmi chadema imepata diwani mmoja tuu, wengine wote CCM lakini imezoa kiti cha bunge na Dr Slaa amempita kikwete kwa mbali sana
you mean the kilimanjaro rc, monica mbega amefanywa mbaya na chadema?? Very good. naomba nitajie jina la huyo mbunge mteule wa chadema aliyemvuruga huyo mwanamke aliyepewa nafasi kwa upeneleo.
CHADEMA woyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!Watanzania juu juu juu zaidi sasa kidogo tunaanza kuelewa kuhusu demokrasia,huu ni mwanzo tu tukutane 2015,tuitengeneze tanzania yetu jinsi tunavyotaka iwe,Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee CHADEMA igweeeeeeeeeeeeee
Heeeeee! Hapa imekuwaje mpaka CCM washindwe kuchakachua maana tofauti ya kura 1000 ni rahisi sana kuchakachua. Au ndo wamechakachua hadi wakaishia hapo? Maana najua Monica Mbega is like Batilda Buriani. Yuko beneti wa wakuu ndo kisa hata cha kumwondoa Mwakalebela na kumpa yeye.
Weeeeeeeeeeee unawafahamu wahehe wewe!!? Hawaongei wao ni action tu. Kujimaliza sio shida kwao vivyohivyo kuondoa kama unasumbua bila sababu za msingi nayo sio shida. Ni zaidi ya Wakurya. Sema mfumo wao wa maisha ni underground sana (HAVUMI LAKINI WAPOO).
Nimegundua town centre zote Chadema inaweza shinda kama si wizi wa ccm...
1.IRINGA MJINI-CHADEMA
2.MBEYA MJINI-CHADEMA
3.TARIME MJINI-CHADEMA ccm wameharibu hali ya hewa hapa
4.MOSHI MJINI-CHADEMA
5.ARUSHA MJINI-CHADEMA ccm wmeharibu pia
6.MWANZA NYAMAGANA-CHADEMA ccm wameharibu
.
.
.ect ect ect.............
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.