CONFIRMED: Halima Mdee wins Kawe Constituency

Ngugu jamani wapinzani na msio wapinzani..!! Hawa ndugu zetu wana CCM bado wana wazo la Kuchakachua tu...!! but Mnyika , Mdee , Sugu ,... Kiboko yao, Kama vipi futeni upinzani...!!!!
 
Kama kada wa CCM, I believe Halima Mdee will make our bunge so much better. Hongera na kila la kheri Mshkaji. Now you get to be the incumbent. We will be waiting.

Sasa viti maalum pia si ulikuwepo? Sasa itakuwaje hapo?

Selemani unaonaje kama hii nafasi tukimpa Marmo, hahahahaha!! :doh::doh:

Mmebana Mmeachia!!!
 
You have made me happy to-day!! Jioni mimi na chupa yangu ya CAMUS brandy nikingojea habari toka Kilombero Kwa GENDER SENSITIVE!!Hopefully nako mambo yatajipa.
 
God is great! Sasa bado Lisu & Mpendazoe kikosi kikamilike
 
Mkuu Halima, nilikuwa nakusiliza live hapa ukihojiwa na Wanyama Wachebusire.
Ama kweli binafsi umenikonga roho mwana dada..
Yaani moto uliowasha ni kwenda mbele tuu..Kamwe hakuna kurudi nyuma tena
Big up..!!
 
Kiama cha mafisadi.

Kiwango kingine cha Upinzani, Hongeerrrra Mh. Halima Mdee, tunasubiri mchango wako kwa hamu , kwa kazi ya kufukua mafisadi popote walipo .
 
Inaonekana wananchi wamezingatia wito wa maaskofu kula pesa chukua pesa usitoe kwa sababu kula cha mjinga sio dhambi, kauli ambayo ccm waiitafsiri kama udini
 
Hongera sana mpiganaji Halima, daima mbele hakuna kurudi nyuma!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…