Confirmation kwa anae tumia Boom J8

Any one alie fanikisha atupe feedback please.
 
Mkuu hauna uhakika na process yako....au ww fundi simu?
Hilo ni angalizo tu, kama hujaelewa mtu anapo miliki simu anauwezo wa kuifanya chochote ikiwemo ku ROOT Sasa zipo update nyingine hazikubali kwenye simu zilizo fanyiwa ROOT.
Zaidi hapo utaishia kuiharibu.
 
Hilo ni angalizo tu, kama hujaelewa mtu anapo miliki simu anauwezo wa kuifanya chochote ikiwemo ku ROOT Sasa zipo update nyingine hazikubali kwenye simu zilizo fanyiwa ROOT.
Zaidi hapo utaishia kuiharibu.

Nimekupata mkuu....kuna uzi jamaa mmoja aliuleta kuhusu kuroot simu zao....nadhan waanzie huko kama huo nao ni msahada ktk kuzilinda simu zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…