Condom za bei poa Vs Condom expensive

Condom za bei poa Vs Condom expensive

TUPAC WA MWAKALELI

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2014
Posts
354
Reaction score
109
Wengi hukimbilia kondom za bei kubwa wakiamini kuwa ndio safe, lakini ukweli ni kwamba zile condom za bei poa zenye kusambazwa na serikali au mashirika ya kupambana na UKIMWI ndio condom imara na madhubuti.

Hazipasuki kirahisi, hata sisi wenye mikuno ya KIKURYA zinatusitiri sana na kutukinga kikamilifu.

Vile vi kondom vya bei mbaya vya kibitozi ukisukuma nyama kikuli lazima vichanike, havina uvumilivu hata kidogo.
 
kuna watu wananunua kondom packt shiling 2500
wakati hiyo ni malipo ya shortime huku uswahilin
 
Eee bwana nilitumia condom flan zipo ulaya zina tubei.! Ila ukivaa ni kama hujavaa kitu lile joto la papuchi unalipata sawasawa. Na mafuta yako yako pouwa. Hakuna mfsni wako hapa bongo
 
zile zenye vipele vipele ndiyo nzuri zaidi. hizo za bei rahisi hata harufu yake tu inakera
 
Hizi za bei rahisi harufu sasa ...mpaka kero.
 

Attachments

  • 1401435827083.jpg
    1401435827083.jpg
    79.8 KB · Views: 652
zile zenye vipele vipele ndiyo nzuri zaidi. hizo za bei rahisi hata harufu yake tu inakera

Mnachukia harufu ya condom za bei poa, kisha unavaa za ghali zisizonuka kisha unaingia kwenye tigo kisha unanuka mafi.
 
Back
Top Bottom