Condom inepasuka

Na kaniambia yupo kwenye siku za hatari, yaani hapa akili imezima mziki wa moyo ni singeli ,ushauri wenu ni msaada unaoitajika.
Kufanya ngono huwa ni kwa ajili ya starehe na uzazi tu na kwa wanajeshi ni silaha ya kumdhalilisha adui.

Kwani umemlala ndugu yako au ni mwanafunzi kiasi cha kupanick kwamba utabumburuka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…