Condoleezza Rice: Kim Jong Un is pretty clever

Asante kwa andiko hili. Samahani, naomba nitajie jina la hiyo series. Asante.
 
Wakimpa mjerumani itakula kwao! Dah....it seems kuna maelezo mengi nyuma ambayo Mimi sijyajui. Ukipata muda naomba unijibu mkuu.
 
We jamaa ni kwikwi... Salute.
 
Inaitwa Iris, ina series nne. Angalia vizuri na kwa umakini ulio mkuu zile series mbili za mwanzo. Series mbili za mwisho (3 and 4) ni ziada, ni kwa ajili ya kuzubaisha akili za watu na kuwafuta majonzi tu.
Iris imefika serie 3&4!?..kilimo cha bangi kinaniweka bize sana!!..
 
Good to see you bro with this masterpiece. bless up
 
Hilo jina lako tu adabu huna si kila mtu anakaa kuangalia series mda wote jibu kwa adabu.
 
Nadhani wewe bado sana. Hujui hata kiswahili
Badala ya kuandika neno "ivoo" andika "hivyo"
Badala ya kuandika "sio" andika "siyo"
Elimu ya bure hiyo dogo.

I normally get annoyed to see these big mistakes in some of serious tabloids. See below:
1. Ndio instead of Ndiyo
2. Sio instead of siyo
3. Ivo instead of hivyo
4. Kua instead of kuwa
etc etc.
 
Kwahiyo unglyyyyyyyyyyy maana yake ni sura mbaya? Nimetafuta kwenye kamusi ya kingereza sijaona neno kama hilo "ungly" Acha kubisha wewe. Unatuaibisha vijana wa TZ
Kiingereza hicho huongea ndugu wa kabila fulani kutoka nchi jirani. God husema "Ngod" hamna shida ni lafudhi tu. Ukimsikiliza Mshona akiongea Kiingereza utafikiri ni kutoka Mkoa wa Mara, Tanzania. Hakuna shida mradi tu mtu asijifanye kuijua sana hiyo lugha. Hapo watu watamcheka. Umewahi kusikia Muitaliano akiongea Kiingereza ama Mchina ama Mjaluo au Mganda? Kwa mfano mimi hufurahia matamshi ya Kiingereza ya watu wa ukanda wa pwani ya Afrika Mashariki. Hakuna shida ila usijifanye unaijua sana kama ni lugha yako. Wenyewe huwa hawapendi uongee kana kwamba ni kama wao. Hapana, wanapenda kuiona lafudhi yako ya Ghana, Nigeria, India ama Namibia. Cha msingi ukizungumza na kuandika lugha ya watu zingatia sarufi. Matamshi yako watu huyavumilia na tena huyafurahia.
 
Mkuu Palantir please read Post #19
Mkuu kwa strategy inayotumika USA yupo hali mbaya!. Lakini je NK hawaogopi ikibackfire maana naiona too risky kuharibu site zake na vinu vyake even if anaweza ficha lakini kuruhusu muungano kutapelekea achangamane na SK ambapo hata spies wa USA wataweza kuhusika kuharibu plan zake au kufichua secret millitary sites zake!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…