BEAUTIFUL WIFE
Member
- Mar 6, 2013
- 13
- 3
Hivi hii concept ya uvumilivu huwa ina maana gani katika ndoa au mahusiano?
Imagine mwanume ameshaku cheat na wanawake kama nane hivi na unawajua na ni wa uhakika sio wa kuhisi (still bado upo unavumilia) hao ndo unaowajua pia kuna wale usiojua kabisaaa! This ni within six years since umemjua.
And sometimes mwanaume anakujibu its true that am doing this and this outside (akitamka lile neno tendo )we amua utakavyoona.
Anaweza asikusemeshe mwezi mzima anaingia na kutoka, nyumba inakuwa kama changing room.
Na mtu haonyeshi dalili za kuja kubadilika maana ni kama vile hizi tabia zimekuwa sehemu ya maisha yake , waswahili husema ni kama kachanjiwa .
Mtu ambaye haombi msamaha kwa mke wake wa ndoa! , mtu ambaye ha feel guilt! Mtu ambaye haoni hata chembe ya aibu kwa matendo yake. Tena atakujibu mbona fulani anafanya hivi na wanaishi vizuri na mke wake !!!
Is this love ? is how marriages / relationships supposed to be??
Au maana ya ndoa ni huzuni , machozi ....etc
Kwa concept hii ya UVUMILIVU imepoteza sana maisha ya watu esp akina KE kuliko akina ME .
MFANO:
1) Juzi kuna rafiki yangu alikuwa anahadithia kuwa alimpoteza mama mkwe wake kwa sababu ya hii concept ya uvumilivu . Kivipi? Huyu mama alikuwa na amekuja dar kumsaidia huyu rafiki yangu alikuwa kajifungua sasa mama mkwe kila akimpigia simu kumfahamisha mumewe kuwa siku fulani anarudi home mume anajibu oooh endelea kukaa huko mtoto bado mdogo . Sasa mama mkwe wa huyo dada akaamua kufunga safari kurudi kwa mumewe mkoa alipo fika kuingia chumbani kwake akakuta (pichu) nguo ya ndani pamoja na kanga chumbani kwake , mara akaanza presha kalazwa siku mbili akafariki. Uvumilivu umepelekea mpaka mpaka kifo cha huyu mama.
2). Kuna rafiki yangu alikuwa na boyfriend wake siku nyingi sana , huyo boyfriend alikuwa ana mambo ya kucheat kweli my friend alikuwa mvumilivu sana lakini ikafika siku akaamua kufanya maamuzi ya kuendelea na mambo yake. Yule kaka akaja akaoa kaoa nadhani alipata mpaka na mtoto lakini hivi ninavyoongea amefariki mwaka jana kwa HIV , mke wake kafariki mwaka huu . Yaani Rafiki yangu huwa anamshukuru Mungu kwa kumpa ujasiri wa kuweza kuachana na huyo BF wake maana leo angekuwa marehemu pia.
3)Mwingine ni dada yangu mtoto wa mjomba nae alikuwa mvumilivu sana kwa bwana wake , kwani alikuwa akishauriwa kuvumilia kila mara at the End akafariki kwa presha na msongo wa mawazo. Na hivi ninavyoongea huyo aliyekuwa mume wake ni HIV +. REST IN PEACE MY SISTER .
*these are true examples*
JE HII CONCEPT YA UVUMILIVU INA MAANA GANI??
MI NAHISI CONCEPT YA UVUMILIVU IWE APPLIED LAKINI IWE NA KIKOMO PIA.
ALWAYS TOO MUCH IS HARMFUL.
Imagine mwanume ameshaku cheat na wanawake kama nane hivi na unawajua na ni wa uhakika sio wa kuhisi (still bado upo unavumilia) hao ndo unaowajua pia kuna wale usiojua kabisaaa! This ni within six years since umemjua.
And sometimes mwanaume anakujibu its true that am doing this and this outside (akitamka lile neno tendo )we amua utakavyoona.
Anaweza asikusemeshe mwezi mzima anaingia na kutoka, nyumba inakuwa kama changing room.
Na mtu haonyeshi dalili za kuja kubadilika maana ni kama vile hizi tabia zimekuwa sehemu ya maisha yake , waswahili husema ni kama kachanjiwa .
Mtu ambaye haombi msamaha kwa mke wake wa ndoa! , mtu ambaye ha feel guilt! Mtu ambaye haoni hata chembe ya aibu kwa matendo yake. Tena atakujibu mbona fulani anafanya hivi na wanaishi vizuri na mke wake !!!
Is this love ? is how marriages / relationships supposed to be??
Au maana ya ndoa ni huzuni , machozi ....etc
Kwa concept hii ya UVUMILIVU imepoteza sana maisha ya watu esp akina KE kuliko akina ME .
MFANO:
1) Juzi kuna rafiki yangu alikuwa anahadithia kuwa alimpoteza mama mkwe wake kwa sababu ya hii concept ya uvumilivu . Kivipi? Huyu mama alikuwa na amekuja dar kumsaidia huyu rafiki yangu alikuwa kajifungua sasa mama mkwe kila akimpigia simu kumfahamisha mumewe kuwa siku fulani anarudi home mume anajibu oooh endelea kukaa huko mtoto bado mdogo . Sasa mama mkwe wa huyo dada akaamua kufunga safari kurudi kwa mumewe mkoa alipo fika kuingia chumbani kwake akakuta (pichu) nguo ya ndani pamoja na kanga chumbani kwake , mara akaanza presha kalazwa siku mbili akafariki. Uvumilivu umepelekea mpaka mpaka kifo cha huyu mama.
2). Kuna rafiki yangu alikuwa na boyfriend wake siku nyingi sana , huyo boyfriend alikuwa ana mambo ya kucheat kweli my friend alikuwa mvumilivu sana lakini ikafika siku akaamua kufanya maamuzi ya kuendelea na mambo yake. Yule kaka akaja akaoa kaoa nadhani alipata mpaka na mtoto lakini hivi ninavyoongea amefariki mwaka jana kwa HIV , mke wake kafariki mwaka huu . Yaani Rafiki yangu huwa anamshukuru Mungu kwa kumpa ujasiri wa kuweza kuachana na huyo BF wake maana leo angekuwa marehemu pia.
3)Mwingine ni dada yangu mtoto wa mjomba nae alikuwa mvumilivu sana kwa bwana wake , kwani alikuwa akishauriwa kuvumilia kila mara at the End akafariki kwa presha na msongo wa mawazo. Na hivi ninavyoongea huyo aliyekuwa mume wake ni HIV +. REST IN PEACE MY SISTER .
*these are true examples*
JE HII CONCEPT YA UVUMILIVU INA MAANA GANI??
MI NAHISI CONCEPT YA UVUMILIVU IWE APPLIED LAKINI IWE NA KIKOMO PIA.
ALWAYS TOO MUCH IS HARMFUL.