Computer yangu Destop ya DELL Haiwaki

Computer yangu Destop ya DELL Haiwaki

Hustling

New Member
Joined
Dec 13, 2018
Posts
2
Reaction score
1,190
Ile button ya kuwashia inawaka na kuzima,pia computer yenyewe inatao muungurumo mkubwa Kama gari yenye mzigo inavyopata shida kupanda mlimani, msaada waungwana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Possibly Fan itakuwa imejaa vumbi hivyo mashine kwenye processor ina overheat au
2. Power supply ina tatizo.
3. RAM haziko sawa
 
Hapo inaonesha kuna overheating kwa processor.
Kwanza hakikisha feni imeondolewa vumbi lote ili iweze kuzunguka kwa spidi inayotakiwa.
na pili apply thermo paste kwenye processor kwani iliyokuwemo inaonesha imekwisha kauka ndio sababu processor inapata moto kupita kiasi.
Nimehamisha ram ya kwanza nimeweka mwishoni ya mwishoni nimeiweka mwanzoni ,inawaka fresh ila baada ya masaa mawili inazima yenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ile button ya kuwashia inawaka na kuzima,pia computer yenyewe inatao muungurumo mkubwa Kama gari yenye mzigo inavyopata shida kupanda mlimani, msaada waungwana

Sent using Jamii Forums mobile app
Nisaidieni laptop yangu dell nashida! Haiwaki kabisa! Ilianza hivi, Hii laptop betri ilikufa kitambo nkawa naitumia direct kwenye umeme bado ikafanya kazi kwa miez kadhaa baada ya hapo ikashndwa kufnya kazi nkawa mpka nachomoa betri naunga kwenye umeme napgia kaz hvovho kwa miez kadhaa nako ikalemewa ndo ikawa haiwaki kabisa! Leo nmeweka betri mpya kwenye laptop nkaichaji kwa masaa kam 3 hv, kuiwasha laptop haiwak, Je naweza nkawa nimeua kfaa chochote kwenye laptop am shda nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom