Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,202
- 211
Komputer yako lazima iwekewe updates za kisasa , iwekewe antivirus pamoja na updates zake bila kusahau firewall , windows xp service park 2 inakuja na service park yake ingawa haikuhakikishii usalama sana kama haina angalau vitu hivyo 3 kuna uwezekano mkubwa zaidi kwa computer yako kuvamiwa au kushambuliwa kama imeunganishwa katika mtandao au hata kama haijaunganishwa .
MTANDAONI
Sasa hivi wengi tumeunganishwa katika mtandao na wengi zaidi wanazidi kuhamisha shuguli zao kwa njia ya mtandao au kutegemea zaidi mtandao kwa shuguli zao , kama kusoma email , kutembelea tovuti , manunuzi ya vitu , kuongea na mambo mengine mengi sana .
Kama nilivyosema hapo mwanzo kuunganisha computer yako katika mtandao unakuwa na nafassi kubwa zaidi kushambuliwa , katika dunia ya mtandao password pekee hazitoshi bila kuchukuwa hatua nyingine nzuri na rahisi zaidi .
UTAVAMIWA KAMA
- Ukifungua attachment yoyote ambayo hujui inahusu nini au chanzo chake .
- Kama ukiamini kila kitu unachosoma katika mtandao ni mali mfano ahadi za utajiri kama ukifungua attachement au tovuti Fulani
- Ukidownload programu ya ajabu kutoka katika mtandao kama screenserver za bure , games , picha na vingine vingi
- Kushiriki au kushirikiana na wengine data zako kwa programu za peer to peer kama kazaa , wares , au ares
- Ukishirikiana password yako na watu wengine
VITU VYA KUFANYA USIVAMIWE KWA URAHISI
- Hakikisha antivirus yako iko updated na saa zote iwe inafanya kazi
- Ujenge mazoea ya kuweka updates hizi zinapatikatika bure katika tovuti ya Microsoft au zile zinazohusika na programu unayoitumia . kumbuka lazima uwe na operating system ambayo ni genuine ili kiweka kupata updates nyingi na nzuri zaidi .
- Ni vizuri ukawa na password na account zaidi ya mbili katika computer yako moja administrator na ingine , moja ina weza kucorrupt au rafiki yako anaweza kuja kuomba compuer kwani ni lazima atumie account yako ?? unampa hiyo ingine .
- Weka firewall na hakikisha inafanya kazi katika computer yako au mtandao wa kazini kwenu .
MTANDAONI
Sasa hivi wengi tumeunganishwa katika mtandao na wengi zaidi wanazidi kuhamisha shuguli zao kwa njia ya mtandao au kutegemea zaidi mtandao kwa shuguli zao , kama kusoma email , kutembelea tovuti , manunuzi ya vitu , kuongea na mambo mengine mengi sana .
Kama nilivyosema hapo mwanzo kuunganisha computer yako katika mtandao unakuwa na nafassi kubwa zaidi kushambuliwa , katika dunia ya mtandao password pekee hazitoshi bila kuchukuwa hatua nyingine nzuri na rahisi zaidi .
UTAVAMIWA KAMA
- Ukifungua attachment yoyote ambayo hujui inahusu nini au chanzo chake .
- Kama ukiamini kila kitu unachosoma katika mtandao ni mali mfano ahadi za utajiri kama ukifungua attachement au tovuti Fulani
- Ukidownload programu ya ajabu kutoka katika mtandao kama screenserver za bure , games , picha na vingine vingi
- Kushiriki au kushirikiana na wengine data zako kwa programu za peer to peer kama kazaa , wares , au ares
- Ukishirikiana password yako na watu wengine
VITU VYA KUFANYA USIVAMIWE KWA URAHISI
- Hakikisha antivirus yako iko updated na saa zote iwe inafanya kazi
- Ujenge mazoea ya kuweka updates hizi zinapatikatika bure katika tovuti ya Microsoft au zile zinazohusika na programu unayoitumia . kumbuka lazima uwe na operating system ambayo ni genuine ili kiweka kupata updates nyingi na nzuri zaidi .
- Ni vizuri ukawa na password na account zaidi ya mbili katika computer yako moja administrator na ingine , moja ina weza kucorrupt au rafiki yako anaweza kuja kuomba compuer kwani ni lazima atumie account yako ?? unampa hiyo ingine .
- Weka firewall na hakikisha inafanya kazi katika computer yako au mtandao wa kazini kwenu .