sijui nini
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 2,553
- 1,285
Ok..kwahiyo kuna uwezekano mkubwa tatizo likawa ni hiyo RAM au slots za kuwekea hiyo RAM..unatumia chips ngapi za RAM? kama ni zaidi ya moja jaribu kubadili badili kila slots kwa kutumia RAM moja moja (trial and error) mpaka utajua ni RAM ipi au slot ipi inamatatizo..kama unatumia RAM moja jaribu kubadili kwenye slots tofauti na kila unapobadili kabla haija boot ingia kwanza kwenye BIOS settings (F2) wakati inawaka then set kila kitu to default settings save then ndo uiache iwake!! na kama kuna uwezekano wa kupata RAM nyingine kwa kujaribia itakuwa vizuri ili kuthibithisha kama kweli tatizo si RAM ama lah!!Hakuna nilichobadili mkuu hiyo PC inazaidi ya miaka 5 inatumika, nakumbuka siku za nyuma wakati nacheza game ilizima yenyewe nilivyoiwasha haikuwaka ikatoa beep sound nilivyobadilisha RAM nikaweka katika slot nyingine iliwaka ikaendelea kupiga mzigo lakini hali hiyo ilikuwa ikijirudia na mara ya mwisho wakati nacheza game ikatokea blue screen hiyo ni juzi tu na ni mara ya kwanza kutokea hivyo.