Computer ya Dell dimension E 520 inatoa message ya ajabu

Hakuna nilichobadili mkuu hiyo PC inazaidi ya miaka 5 inatumika, nakumbuka siku za nyuma wakati nacheza game ilizima yenyewe nilivyoiwasha haikuwaka ikatoa beep sound nilivyobadilisha RAM nikaweka katika slot nyingine iliwaka ikaendelea kupiga mzigo lakini hali hiyo ilikuwa ikijirudia na mara ya mwisho wakati nacheza game ikatokea blue screen hiyo ni juzi tu na ni mara ya kwanza kutokea hivyo.
Ok..kwahiyo kuna uwezekano mkubwa tatizo likawa ni hiyo RAM au slots za kuwekea hiyo RAM..unatumia chips ngapi za RAM? kama ni zaidi ya moja jaribu kubadili badili kila slots kwa kutumia RAM moja moja (trial and error) mpaka utajua ni RAM ipi au slot ipi inamatatizo..kama unatumia RAM moja jaribu kubadili kwenye slots tofauti na kila unapobadili kabla haija boot ingia kwanza kwenye BIOS settings (F2) wakati inawaka then set kila kitu to default settings save then ndo uiache iwake!! na kama kuna uwezekano wa kupata RAM nyingine kwa kujaribia itakuwa vizuri ili kuthibithisha kama kweli tatizo si RAM ama lah!!
 
kompyuta inavyowaka (boot) the first thing huwa inafanya ni the Power On Self Tests (POST). hizi test ni za kuhakisha system inaenda vizuri na itatoa beeps au messages tofauti kama kuna error in major components. hizi major components ni mobo (motherboard), processor, hard disk na RAM. I suppose tunaweza ongeza pia HSF (heat sink fan) na PSU (power supply unit). if any of these hazifunction properly YOUR COMPUTER WILL NOT BOOT period!!

cha pili computers huangalia ni VGA. depending na manufacturer wa kompyuter yako, kama vga ina shida your computer may or may not boot (tuachane na the fact ya kuwa haitadisplay if the vga wont work lol).
hizi hapa ni basic computer knowledge na mnaniangusha sana mnavyojadili kama ni RAM ina shida wakati computer bila RAM haiboot

kuna maneno haya "Error allocating Mem BAR for pci device" je inawezekana kuna hitilafu kwenye HDD au RAM?

ulivyosema kwamba computer yako inaboot vizuri lakini misho wa siku inakuletea hiyo message in red, narudia tena, kuna shida in one of ur PCI cards au either ur BIOS haijazitambua vizuri. if a piece of hardware haitambuliki in BIOS, then ur OS haitaweza kuzi recognise pia.
fanya hivi. fungua mashine yako utoe every piece of PCI card installed on it. nadhani unajua PCI cards ni nini (and ofcoz nilieleza hapo awali) iwe ni ya modem au sound, just remove it. boot kompyuta yako bila any of them uone kama itaboot. ikiboot bila any error message, izime then weka card moja ndani ureboot tena. ikioot, zima, chomoa card uliyoweka sogeza pembeni and try another card. rinse and repeat mpaka umshike culprit.
of course inawezekana kuwa kuna slot imekufa, so ukipata card inayo malfunction, jaribu kubadilisha slot (hata kama una 16-8-8)
unaweza ona kama ni time consuming, ila bila kufanya hivi, hutajua shida ya kompyuta yako (that au kumtafuta fundi kama mie :biggrin:). so test ALL your pci cards
kuna uwezekano pia kuwa mobo yako ndo ina shida kwenye pci slots na pci cards zake ndo hazina shida (in which case ur looking to buy another motherboard) lakini naamini shida sio kubwa kihivo
good luck leh
 
Natumia RAM moja tu 512MB ila slot zipo 4 kwahiyo nitayafanyia kazi hayo maelezo yenu then nitarudisha majibu.... Ahsante
 
sasa kaka umechangia nini kama hujui si ukae tu kimya uwapishe wanaojua ustaarabu kitu cha bure

Huo ni mchango tosha. Kama jualizika nao tafuta ktk forums zingine. Mi binafsi ningekushauri urejee post hii ya sijui nini.
 
asante!..ila nimekuwekea link yenye maelezo ya kutosha juu ya hiyo B.S.O.D..na wengi imewasaidia..kama haikufai poa! Kila la kheri..




Mola akupe noyo wa subira dogo sijui nini. Endelea hivohivo, mjinga usimfuate walisema wahenga.

NIlishakubali makosa yangu kwa kutoelewa kama ile ilikuwa link, sasa sijui nini naomba msaada tena kabla ya ile blue screen
kuna maneno haya "Error allocating Mem BAR for pci device" je inawezekana kuna hitilafu kwenye HDD au RAM?


Angalau umekuwa muungwana kwa kuomba msamaha. Wahenga walisema muungwana akivuliwa nguo huchutama. Hongera sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom