Computer eng. V/S Telecom eng.

Nakushauri anza na computer science kama utaendelea na masters ndo uje uende kwenye comp eng...
Mie nasoma computer science nategemea kuhtimu mwakan then km ntafanikiwa ndoto yangu ya kwenda MIT(massachussets institute of Technology) ntasoma comp eng.

Raha ipo ktk comptr science unaweza kuwa:-
1. Hadware expert
2. Software engineer/expert
3. Database administrator
4. Network administrator
5. Communication

Unaposema compyuta sayansi lazima uyasome hayo mambo matano na utakuwa na idea nayo yote ila utaamua lipi kati ya hayo liwe ndo utaalamu wako.
Karibu St. Joseph Inst of Info Tech.
 
Mdogo wangu mimi ni mdau wa coict/coet najua vizuri sana hizo kozi.
Mi nakushauri usome comp eng maana iko katikati kati ya comp sci na telecom.
kama utapenda networks basi mwaka wa tatu na nne utaopt networks au kozi za telecom na kama utatokea ukawa kipanga darasani basi utasukuma code na utaopt kozi za comp sci.
Cha ajabu ambacho nimekisoma sokoni ukisoma comp eng unaweza kuwa transmission eng au programmer au network eng.. Kwa kifupi Comp Eng itakuweka katika wakati mzuri kwenye ajira. Halafu kama kazi zinatoka kampuni za simu,transmission au mengine yahusio utajikuta unafaaa kila kona mdogo wangu.
Usisome kitu so specific kiasi kwamba utashindwa ku move btwn fields before specilization.
All the Best kaka

thanx,be blessed more and more!
 
Nakushauri anza na computer science kama utaendelea na masters ndo uje uende kwenye comp eng...
Mie nasoma computer science nategemea kuhtimu mwakan then km ntafanikiwa ndoto yangu ya kwenda MIT(massachussets institute of Technology) ntasoma comp eng.

Raha ipo ktk comptr science unaweza kuwa:-
1. Hadware expert
2. Software engineer/expert
3. Database administrator
4. Network administrator
5. Communication

Unaposema compyuta sayansi lazima uyasome hayo mambo matano na utakuwa na idea nayo yote ila utaamua lipi kati ya hayo liwe ndo utaalamu wako.
Karibu St. Joseph Inst of Info Tech.

Mkuu,thank u!
 
Nakushauri anza na computer science kama utaendelea na masters ndo uje uende kwenye comp eng...
Mie nasoma computer science nategemea kuhtimu mwakan then km ntafanikiwa ndoto yangu ya kwenda MIT(massachussets institute of Technology) ntasoma comp eng.

Raha ipo ktk comptr science unaweza kuwa:-
1. Hadware expert
2. Software engineer/expert
3. Database administrator
4. Network administrator
5. Communication

Unaposema compyuta sayansi lazima uyasome hayo mambo matano na utakuwa na idea nayo yote ila utaamua lipi kati ya hayo liwe ndo utaalamu wako.
Karibu St. Joseph Inst of Info Tech.

Pax ni kweli uko saint Jose? maana pale wana kozi ya kihindi inaitwa Comp Scie Engineering ni BE. sasa sijui computer appln au science ya songea unasema.
Halafu mind u, american universities kama florida,iowa ukiomba comp eng utatakiwa kuchagua ya either electrical au software eng.
Ni ngumu kupata kama ulisoma a normal degree ya comp science. Hizo kozi ulizosema ndio roho ya engineering kabisa.
Emperor nimempa the best option i can hold in my heart for my society.
aende UDSM akapewe dawa za ukweli na kina bagile,haule,kisaka na wengine.
Atakuwa bora if he is smart enough to compete in EA market
 
hiyo chaka

ni chaka kama anataka mshahara mmoja pekee ndio umtoe
civil ni rahisi sana kujiajiri mdogo mdogo na kufikia makubwa kama ni mtu aliyelenga mbali

civil, misheni town kibao,kuna watu wanapata tender na hawana utaalam hapa ndio
hizo part time wakati una permanent job
 
Pax ni kweli uko saint Jose? maana pale wana kozi ya kihindi inaitwa Comp Scie Engineering ni BE. sasa sijui computer appln au science ya songea unasema.
Halafu mind u, american universities kama florida,iowa ukiomba comp eng utatakiwa kuchagua ya either electrical au software eng.
Ni ngumu kupata kama ulisoma a normal degree ya comp science. Hizo kozi ulizosema ndio roho ya engineering kabisa.
Emperor nimempa the best option i can hold in my heart for my society.
aende UDSM akapewe dawa za ukweli na kina bagile,haule,kisaka na wengine.
Atakuwa bora if he is smart enough to compete in EA market


Elieskie! kwa nini umesita mpaka unasema ni kwel upo st.? na kwa nini unasema comput sci ya kihindi?

okay nipo St. J ya Songea its a 4 year programe and am pursuing a bachelor in computr science.
hapa diploma ndo inaitwa dip in comp application na ni 3 yrs programme.

Kuhusu U.S hasa Columbia university na Massachussets Inst of Tech nimefuatilia kwa karibu sana na wana sheria yao moja ambayo naipenda sana inamtaja mtu aliyesoma comptr science from a four-years college ana chance kubwa ya kujoin nao hasa kwa international student.

Kwa hapa St. Joseph mtu wa computer science anaweza kufanya elective tatu kati ya:-
- Artificial intelligence
- Cryptography
- Advance DBMS
- Software project management
- Object oriented Analysis and Design
- Mobile Computing
- Advanced Java programming
- E Commerce
- Multmedia
- Internet programming
- Cost Accounting na
- Marketing Management.

Hivyo kwa majimbo uliyoyaja ya U.S it depends chuo gani utaenda na uli fanya elective gan kati ya hzo hapo juu.

Software engineering ni option tu but unaweza hata ukasoma something different from it.

What I know mtu wa komputa sayansi hakuna asilokuwa na idea nalo kabisa abt a PC. Isipokuwa ni lazma awe amebobea ktk fani fulan ndani ya computer science.

Dat mean Telcom eng ina fall under communication or Data communication and networking so telcom mtu anakuwa specific sana anaweza hata asijue web tech, database, data sturcture, computer archtecture, installations of a Pc, Financial accounting, C, C++, VB, java Microprocessor, system s/w, Operating system, principles of management na Total quality management.
ambapo mtu wa computer science lazma apitie yote hayo.

Huyu jamaa awaone St. Joseph au DIT watamfaa sana. also COET au MIST au RUCO.

but kwa computer science omba usome St. Joseph au DIT kwa hapa Tanzania.
I just appreciate them kwa hii kozi.
 
dogo fanya mpango uende udsm ukaulize kuhusu hizo field mbili achana na story za vijiweni, kama unataka kutoka ki-life wewe piga Textile engineering, actuarial science au computer science hizo ni udsm. Kama unataka ardhi,mzumbe na sua sema upewe ushauri. Telecom kwa sasa labda usome uwe tutorial asistant lakini ajira zake sio nzuri kwa sasa tofauti na enzi zile maana wengi wanamaliza wanakuwa wajasiriamali mpaka watoke nyundo kibao huku wenzao waliopiga course za 3 yrs wana-drive magari tu mjini na ajira motomoto

kuhusu computer eng haina tofauti na computer science ila wanafunzi wa bongo wanapenda ku-complicate maisha ila wakifika mwaka wa tatu wanajuta duh ningejua ningechukua computer science (cos). Halafu we bado dogo ujui vitu so unapopewa ushauri usiwe na ghadhabu just read and interprete the advices very careful cuz it all about your career and your life as well.
wacha kumpoteza dogo, udsm we ndo umekiona chuo cha maana sana siyo? acturial science and textile ndo course unaziona superb kuliko zote? dogo amekua specific, either computer related displine au telecom period. sasa wewe unamzungusha kwa hadithi ndefu, krrrr.
 
wacha kumpoteza dogo, udsm we ndo umekiona chuo cha maana sana siyo? Acturial science and textile ndo course unaziona superb kuliko zote? Dogo amekua specific, either computer related displine au telecom period. Sasa wewe unamzungusha kwa hadithi ndefu, krrrr.

i like this.
 
Kama unao msuli mnene piga Telecom maana itakutoa zaidi ingawa unaweza pata maporini sana ku manage network hasa transmission....kwa sasa piga telecom
umemshauri sawa ila kama mimi ningemshauri kuliko kupiga telecom bora ICT then specialize in either infrastructure or software engineering.
 
Elieskie! kwa nini umesita mpaka unasema ni kwel upo st.? na kwa nini unasema comput sci ya kihindi?

okay nipo St. J ya Songea its a 4 year programe and am pursuing a bachelor in computr science.
hapa diploma ndo inaitwa dip in comp application na ni 3 yrs programme.

Kuhusu U.S hasa Columbia university na Massachussets Inst of Tech nimefuatilia kwa karibu sana na wana sheria yao moja ambayo naipenda sana inamtaja mtu aliyesoma comptr science from a four-years college ana chance kubwa ya kujoin nao hasa kwa international student.

Kwa hapa St. Joseph mtu wa computer science anaweza kufanya elective tatu kati ya:-
- Artificial intelligence
- Cryptography
- Advance DBMS
- Software project management
- Object oriented Analysis and Design
- Mobile Computing
- Advanced Java programming
- E Commerce
- Multmedia
- Internet programming
- Cost Accounting na
- Marketing Management.

Hivyo kwa majimbo uliyoyaja ya U.S it depends chuo gani utaenda na uli fanya elective gan kati ya hzo hapo juu.

Software engineering ni option tu but unaweza hata ukasoma something different from it.

What I know mtu wa komputa sayansi hakuna asilokuwa na idea nalo kabisa abt a PC. Isipokuwa ni lazma awe amebobea ktk fani fulan ndani ya computer science.

Dat mean Telcom eng ina fall under communication or Data communication and networking so telcom mtu anakuwa specific sana anaweza hata asijue web tech, database, data sturcture, computer archtecture, installations of a Pc, Financial accounting, C, C++, VB, java Microprocessor, system s/w, Operating system, principles of management na Total quality management.
ambapo mtu wa computer science lazma apitie yote hayo.

Huyu jamaa awaone St. Joseph au DIT watamfaa sana. also COET au MIST au RUCO.

but kwa computer science omba usome St. Joseph au DIT kwa hapa Tanzania.
I just appreciate them kwa hii kozi.

thumbs up my broda oh! but let me tell you all what you have talked about can be covered under ICT Managemen (BICTM) that combines the essential aspects of computer science (areas such as software development, communications and networking, security, systems analysis, databases, systems software etc.) with the key facets of business and management as they relate to ICT, with a view to producing technically proficient graduates who understand business and management issues.
 
thumbs up my broda oh! but let me tell you all what you have talked about can be covered under ICT Managemen (BICTM) that combines the essential aspects of computer science (areas such as software development, communications and networking, security, systems analysis, databases, systems software etc.) with the key facets of business and management as they relate to ICT, with a view to producing technically proficient graduates who understand business and management issues.


Computer scientist anatengeza software package kama ile ya CRDB Bank. Information Technology specialist anaitumia ile package kufanya kaz na ICT inamsaidia consumer kupata huduma katika ile package.

i.e
database admin -computer science
data admin -IT specialist
Consumer au end user ndo ICT Knowleged.
 
Computer scientist anatengeza software package kama ile ya CRDB Bank. Information Technology specialist anaitumia ile package kufanya kaz na ICT inamsaidia consumer kupata huduma katika ile package.

i.e
database admin -computer science
data admin -IT specialist
Consumer au end user ndo ICT Knowleged.

what do you mean? hahahahaha, you are funny. infact ICTM proffessional is more knowledgeable than computer science guy. i wish i had time, i would have given you some free tutorials coz i can see from your point of view that you are treating ICT as computer packages which is not
 
what do you mean? hahahahaha, you are funny. infact ICTM proffessional is more knowledgeable than computer science guy. i wish i had time, i would have given you some free tutorials coz i can see from your point of view that you are treating ICT as computer packages which is not

I wanted to tell you that even those who pursues community development, sociology and any majos does ICT as a subject. That implies the general knowledge of computer science and information technology on the basis of how to use is what they ICT.
That is what I know come back to defend ur point.
no algorithms and complicated pseudo in ICT as in CS. rather ICT can be related to communication through tech.
 
I wanted to tell you that even those who pursues community development, sociology and any majos does ICT as a subject. That implies the general knowledge of computer science and information technology on the basis of how to use is what they ICT.
That is what I know come back to defend ur point.
no algorithms and complicated pseudo in ICT as in CS. rather ICT can be related to communication through tech.
what i can only tell you is that do some more research, understand what ICT is all about. upo mbali sana na ufahamu kuhusu ICT. what are algorithms and pseudo codes? they are all there in ICT. those are basics of Programming and systems development. come on!
 
I wanted to tell you that even those who pursues community development, sociology and any majos does ICT as a subject. That implies the general knowledge of computer science and information technology on the basis of how to use is what they ICT.
That is what I know come back to defend ur point.
no algorithms and complicated pseudo in ICT as in CS. rather ICT can be related to communication through tech.
there is different between computer literacy and computer proffessionals. Literacy is for end users but proffessionals are like System administrator, system analyst, computer engineer, network, programmer, etc na ukifanya ICT you have the option of becoming any of those.
 
Elieskie! kwa nini umesita mpaka unasema ni kwel upo st.? na kwa nini unasema comput sci ya kihindi?

okay nipo St. J ya Songea its a 4 year programe and am pursuing a bachelor in computr science.
hapa diploma ndo inaitwa dip in comp application na ni 3 yrs programme.

Kuhusu U.S hasa Columbia university na Massachussets Inst of Tech nimefuatilia kwa karibu sana na wana sheria yao moja ambayo naipenda sana inamtaja mtu aliyesoma comptr science from a four-years college ana chance kubwa ya kujoin nao hasa kwa international student.

Kwa hapa St. Joseph mtu wa computer science anaweza kufanya elective tatu kati ya:-
- Artificial intelligence
- Cryptography
- Advance DBMS
- Software project management
- Object oriented Analysis and Design
- Mobile Computing
- Advanced Java programming
- E Commerce
- Multmedia
- Internet programming
- Cost Accounting na
- Marketing Management.

Hivyo kwa majimbo uliyoyaja ya U.S it depends chuo gani utaenda na uli fanya elective gan kati ya hzo hapo juu.

Software engineering ni option tu but unaweza hata ukasoma something different from it.

What I know mtu wa komputa sayansi hakuna asilokuwa na idea nalo kabisa abt a PC. Isipokuwa ni lazma awe amebobea ktk fani fulan ndani ya computer science.

Dat mean Telcom eng ina fall under communication or Data communication and networking so telcom mtu anakuwa specific sana anaweza hata asijue web tech, database, data sturcture, computer archtecture, installations of a Pc, Financial accounting, C, C++, VB, java Microprocessor, system s/w, Operating system, principles of management na Total quality management.
ambapo mtu wa computer science lazma apitie yote hayo.

Huyu jamaa awaone St. Joseph au DIT watamfaa sana. also COET au MIST au RUCO.

but kwa computer science omba usome St. Joseph au DIT kwa hapa Tanzania.
I just appreciate them kwa hii kozi.

Nakubaliana na ww umejitahidi kutaja kozi karibia zote za computer eng lakin umeacha za electronica,electrical na communication ambazo ni compulsoey.
Back to the topic, Lakin umeshindwa kumridhisha dogo. Yeye kasema telecom vs comp eng ambazo zinafunzwa udsm na dit nadhani. St Jose kidogo wamezimega na kuunda kozi nyingi zaidi.
Kuhusu chuo kama atapata alama za juu katika mtihani wa form six basi aende UDSM maana atafanikiwa kutoka. Pale udsm ni pagumu sana na nimeshuhudia enzi zetu waliopata alama ndogo form six wakianguka. kama atafeli basi dit na st.Joseph ataweza kung'ara kwa sababu atakuwa na wa level yake kiakili. cha msingi awe anapenda na anajua anataka nini. Coz nina friends ambao walishindwa kumek it pale udsm na wakaend st.joseph na dit na bado wameweza kufanikiwa na sasa ni mabosi na maengineer wa kutegemewa kweny telecom na ICT industry.
Huu ni ushauri rahisi kabisa i can hold for him...
 
Nakubaliana na ww umejitahidi kutaja kozi karibia zote za computer eng lakin umeacha za electronica,electrical na communication ambazo ni compulsoey.
Back to the topic, Lakin umeshindwa kumridhisha dogo. Yeye kasema telecom vs comp eng ambazo zinafunzwa udsm na dit nadhani. St Jose kidogo wamezimega na kuunda kozi nyingi zaidi.
Kuhusu chuo kama atapata alama za juu katika mtihani wa form six basi aende UDSM maana atafanikiwa kutoka. Pale udsm ni pagumu sana na nimeshuhudia enzi zetu waliopata alama ndogo form six wakianguka. kama atafeli basi dit na st.Joseph ataweza kung'ara kwa sababu atakuwa na wa level yake kiakili. cha msingi awe anapenda na anajua anataka nini. Coz nina friends ambao walishindwa kumek it pale udsm na wakaend st.joseph na dit na bado wameweza kufanikiwa na sasa ni mabosi na maengineer wa kutegemewa kweny telecom na ICT industry.
Huu ni ushauri rahisi kabisa i can hold for him...

duu so TCU inatuma vilaza St. Joseph?
matokeo yangu ya 6 yanawazd baadh ya wana COET.
 
Dogo kapige Telecom UD/ DIT , au ukishindwa cheki UDSM kuna kitu inaitwa ELECTRONICS sikuhizi wameiongezea Telecom, watu wengi wano soma hii kozi wankuwa na wide chane ya TELECOM, Electronics, na IT/Computer. Kwani pia wansoma IT ndani.
 
there is different between computer literacy and computer proffessionals. Literacy is for end users but proffessionals are like System administrator, system analyst, computer engineer, network, programmer, etc na ukifanya ICT you have the option of becoming any of those.
Kaka hii ngumu mimi nime3soma hii kitu kwa vyovyote vile hii ni sawa na computer literacy kama ulivyoiita!
 
what do you mean? hahahahaha, you are funny. infact ICTM proffessional is more knowledgeable than computer science guy. i wish i had time, i would have given you some free tutorials coz i can see from your point of view that you are treating ICT as computer packages which is not

Kaka wacha kutetea uchafu hii kitu haina tofauti na COMPUTER LITERACY,

tena hiyo Management ndio kabisa MZUMBE boy nini wewe?
tena ya MZUMBE ndio upuziiiii kabisa embu onyesha hapa course ulizo soma kama kuna hat moja ya maana. Progamming mnasoma Pascal thats all wakati pascal ni lugfha ya kuanzia tu . Data base una soma Principle only hakuna practical hata kidogo.
 
Back
Top Bottom