Tuelewe lipi mgomo unaendelea au mmefyata, msiniangushe ma-dr.
Mmmmmm!!!!!!:A S-coffee:My God! yaani madiwani hawa hawa ambao wameishia darasa la 4 na la saba leo hii ndio wanawasimami mdaktari wenye degree zao? aisee siasa imeshaiharibu nchi vya kutosha.