Zenj siyo nchi i wazenj waendelee tu kulala usingizi wa pornooo wakiamka wale shurubati na urojo saafiii
Kacomoro ni ka nchi kadogo sana hakawezi kuitunishia misuli Tanzania hata serikali yao ilipopinduliwa ni Tanzania ndio iliongoza majeshi ya kurudisha serikali halali iliyochaguliwa isistoshe wanaitegemea Tanzania kwa kiasi kikubwa kwa biashara ya chakula kwa wale mnaojifariji lazima mjue hivyo kama rais wetu atataka maelezo na kuvunja uhusiano nao wao ndio wataathirika zaidi lazima kutakuwa na sababu za kidplomasia za kufanya hivyo
Mr Q nikitaka kum pm mtu naanzia wapiwatatijua enyewe sisi jaituhusu.
Watu mnachekesha sana.hivyo vi nchi havina cha protokal MTU anakaa popote pale.
Acha ulofa wewe! So wavunje protocol zao kwa kuwa uliwapa msaada wa kijeshi na chakula? Wewe ndio type ya wale watu mnaowasidiaga wadogo zenu halafu mnawadhalilisha, yaani kwa kauli yako wewe ndio unapenda kwa kuwa unamsaidia mdogo wako basi utembee na mke wa mdogo wako nae akae kimya! Shenzi kabisa weweKacomoro ni ka nchi kadogo sana hakawezi kuitunishia misuli Tanzania hata serikali yao ilipopinduliwa ni Tanzania ndio iliongoza majeshi ya kurudisha serikali halali iliyochaguliwa isistoshe wanaitegemea Tanzania kwa kiasi kikubwa kwa biashara ya chakula kwa wale mnaojifariji lazima mjue hivyo kama rais wetu atataka maelezo na kuvunja uhusiano nao wao ndio wataathirika zaidi lazima kutakuwa na sababu za kidplomasia za kufanya hivyo