kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,222
- 1,670
(Community Airline)Hivi hii kampuni ya ndege ya Usafirishaji iliishia wap? Mwenye taarifa zozote
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
mkuu' kwa sababu ya sheria zetu mbovu, kila baada ya miaka mitano haya makampuni ya kitapeli yana badilisha majina, na maboss wa kwa kupasiana, eti kisa hawakupata faida. Kama unavyojua sheria za uwekeza zinawanufaisha viongozi wakishirikiana na hao jamaa wanao jiita wawekeza kwa KUKWEPA KULIPA KODI.