Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Haki ya nani tena kuna article zinachekesha.... duuh!!!:becky::becky:
Umeona eeh!!!!!!!! yaani hawa jmaa utafikiri walianza maandalizi Januari mwaka huu. Bado ntaendelea kuwasifu South Africans, kwao issue ilionekana ni security tu sanasana. Haya mambo ya hygiene kwa keli ni aibu hata kuyazungumzia!!!!!!!!!!