LellozWho
Member
- Jul 13, 2021
- 89
- 121
Nikaskiza redio (Efm)
Tarehe 10/08/2011
Sababu ya kwanini mabasi ya express kushindwa kufika mapema kama ahadi walizotoa.
kiongozi mmoja kutoka ofisi za wanaohusika na usafiri wa barabara aliulizwa na akatoa sababu zifuatazo:
1/ KUEPUSHA KUTEKWA
Mabasi yote lazima yasubiriane vituo fulani ili yaongozane.
2/UBOVU WA MALORI YA MIZIGO
Nanukuu “malori mengi yanaFeli break sasa mabasi yanakua hatarini ndio sababu yanasubirishwa yatoke kwa wakati mmoja.
COMMON SENSE NI UNAZALIWA NAYO AU UNAENDEA SHULE?
Tarehe 10/08/2011
Sababu ya kwanini mabasi ya express kushindwa kufika mapema kama ahadi walizotoa.
kiongozi mmoja kutoka ofisi za wanaohusika na usafiri wa barabara aliulizwa na akatoa sababu zifuatazo:
1/ KUEPUSHA KUTEKWA
Mabasi yote lazima yasubiriane vituo fulani ili yaongozane.
2/UBOVU WA MALORI YA MIZIGO
Nanukuu “malori mengi yanaFeli break sasa mabasi yanakua hatarini ndio sababu yanasubirishwa yatoke kwa wakati mmoja.
COMMON SENSE NI UNAZALIWA NAYO AU UNAENDEA SHULE?