Private Candidate
Member
- Apr 5, 2013
- 32
- 6
Habari zilizomfikia Private Candidate zinaonyesha kuwa aliyewahi kuwa Katibu MKUU Wizara ya Afya mrs Blandina Nyoni naye anawania nafasi hiyo tajwa huku hata interview hakufanya Kwa kujaribu kupitia mgongo Wa Kigogo mmoja Wa awamu ya tatu. Mwenye taarifa zaidi atujuze