englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,209
dear mama are you ok?Unawaza vya kufanya hiyo kitu tu,
shauri yako.
sijasema hivo mama mke wa Bishanga
huo ndio ukweli wenyewe
ukidume sio kua na mademu kibao
mmoja atosha kuonyesha urijali wako!!
thanx englibertm!!
Zaeni mjaze dunia,asema Bwana.
Join Date : 5th April 2012wanaume wote wanatakiwa kujua hilo..haswa wale wenye saccoss.teh
atakaye kuwa wa 8900 kulike any of your comment ntatoa zawadi ya sh 2000 ya muda wa maongeziZaeni mjaze dunia,asema Bwana.
umeonaee ndiyo maana shemejio alishtuka akaamua kuni'wowa' peke yangu, huu ujumbe unamuhusu Bishanga sana, anajiona akiwa na wanawake wengi basi yeye ndiyo kidume..... Kumbe hamna lolote!!!
umeonaee ndiyo maana shemejio alishtuka akaamua kuni'wowa' peke yangu, huu ujumbe unamuhusu Bishanga sana, anajiona akiwa na wanawake wengi basi yeye ndiyo kidume..... Kumbe hamna lolote!!!!!!!!!!!!
i love you mama,that why