NImekuwa disappointed sana kuona Bambo na Mtanga ni mojawapo wa washindi- binafsi huwa nawaona sio wachekeshaji labda niseme hawana jipya vituko vya tushavizoea hasa Bambo- kpindisha mdomo, suruali ile, na kile kiswa-ngoni chake.
Katika fani ya uchekeshaji naona Futuhi wanajitahidi sana, wana wachekeshaji wazuri