Swts
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,062
- 1,296
HAPPY NEW YEAR!!
Heshima tele wapendwa!!
Come we stay ni system ambayo many partners like using it thinking that they can get the right partner to marry, but
at this time they try to observe each others behavior if they could be a perfect couple in life, many of them succeed
and end up getting married..while some they end up regretting why they even met.
Kwa wanachuo nj na ndani..hasa nje wengi mnajikuta umeishia kuwa na mtu ambae hukutarajia kuwa nae kwa sababu ya mazingira na kusave hela.
wengine wanakwambia abiria chunga mzigo wako ila mwisho wa siku wanaachana hapo wameishi zaidi ya miaka minne mitano...
Me namjua mtu aliishi na mwanaume kwa zaidi ya five years tangu wakiwa chuo(nje ya tz) na waliporudi Bongo wakaishi only two years wakaachana. ukifukunyua kila mtu anajitetea lake oh sikukonekti nae emotionally...saikolojikali...it was only personaly, financially na georaphically..
je wewe ulishawahi ku experience hii kitu?mliishia wapi?
Unawashaurije wanaotaka kuishi as couple kwa imani ya uhakika wa ndoa ila wengi huishia kuwa ma baby mama
as well as heartbroken?
Kama unaishi hivyo sasa je ni sababu zipi zimechangia?changamoto gani unakutana nazo?
Any REGRETS?:confused2::confused2::confused2::confused2:
Heshima tele wapendwa!!
Come we stay ni system ambayo many partners like using it thinking that they can get the right partner to marry, but
at this time they try to observe each others behavior if they could be a perfect couple in life, many of them succeed
and end up getting married..while some they end up regretting why they even met.
Kwa wanachuo nj na ndani..hasa nje wengi mnajikuta umeishia kuwa na mtu ambae hukutarajia kuwa nae kwa sababu ya mazingira na kusave hela.
wengine wanakwambia abiria chunga mzigo wako ila mwisho wa siku wanaachana hapo wameishi zaidi ya miaka minne mitano...
Me namjua mtu aliishi na mwanaume kwa zaidi ya five years tangu wakiwa chuo(nje ya tz) na waliporudi Bongo wakaishi only two years wakaachana. ukifukunyua kila mtu anajitetea lake oh sikukonekti nae emotionally...saikolojikali...it was only personaly, financially na georaphically..
je wewe ulishawahi ku experience hii kitu?mliishia wapi?
Unawashaurije wanaotaka kuishi as couple kwa imani ya uhakika wa ndoa ila wengi huishia kuwa ma baby mama
as well as heartbroken?
Kama unaishi hivyo sasa je ni sababu zipi zimechangia?changamoto gani unakutana nazo?
Any REGRETS?:confused2::confused2::confused2::confused2: