donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,042
- 21,517
Umemu outsmart Jose everestDuuuu nimekua wakwanza tena kutupia hapa.
Hiyo mixer ukipaliwa umeondoka mzeiya
Hahahahah. Mkuu umeongea kwa hisia sanaIvi konyagi mnaichanyia na vitu vya ajab ivi
Mnaidhalilishs
Nyagi inatakiwa iwekewe kitimoto au nyama ya mbuzi kipindi hicho kuwe na Malaya pembeniIvi konyagi mnaichanyia na vitu vya ajab ivi
Mnaidhalilishs
Hapana MalayaNyagi inatakiwa iwekewe kitimoto au nyama ya mbuzi kipindi hicho kuwe na Malaya pembeni
wale wa ishozi, hii inawahusu
Ulimwambia mod anipige BAN siku 21Hapana Malaya
Eeeh kisa nn tena mkuuUlimwambia mod anipige BAN siku 21
Wee acha tuEeeh kisa nn tena mkuu
HahahaNi macho yangu au ni dagaa hao? We jamaa ni mhuni bana, yaani unawala wakiwa hai afu safari yao ikifika kikomo ndo unawaua kwa Konyagi????