Kijana kwanini unataka kujifedhehesha na upoteze muda bure na gharama nyingi walioweka 2 years kwa masomo ya 5 na 6 hawakuwa wajinga unajua form five biology ina topic ngapi,kemia na geography bado BAM sijui Kama CBG wanasoma kiukweli bila kupepesa macho ukisema mwaka mmoja lazima uzungushe.
Hivyo soma miaka miwili tu nakushauri soma CBG kama ni ualimu utakuwa na soko kubwa la kuajiriwa hata kama ni private sector.
Nawasilisha....