Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
- Thread starter
- #61
Mwenye Skol? InterestingView attachment 573405
Colman Massawe amefariki dunia kwa ajali mbaya ya Gari iliyotokea kwenye Barabara kuu ya Bagamoyo Msata.
Ajali iliyohusisha Fuso na Gari ndogo. Colman Alikuwa kada wa CCM na mwaka 2015 alichukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Kawe lakini kura hazikutosha.
Duuuuh!View attachment 573582 Mzinga ulikuwa sio wa kitoto
Why Bro?
Tuliobaki duniani.....speed kills huko mabarabani tuendeshe kwa tahadhari!
ajali mbaya sana sana nimejaribu kuangalia hiyo ni gari gani nimeshindwa
Mmmmhhhh!ajali mbaya sana sana nimejaribu kuangalia hiyo ni gari gani nimeshindwa
Juisi flani ya embe ileDelmote ndo kitu gani
Gari imeisha yote yani, kweli ajali ni ajali tu...Huwa nashangaa wanaosema Toyota zipo less secured ila je hata ingekuwa ni Range Rover apo angetoka mtu pamoja na ma airbag yote!?Mmmmhhhh!
Wewe ni jinsia gani mkuu? Hiyo ni Land Cruiser hard top single cabin (pick up).
Mimi huwa naamini siku yako ikifika hayo mengine yote inakuwa ni vijisababu tu vya Israeli kuchukua roho.Gari imeisha yote yani, kweli ajali ni ajali tu...Huwa nashangaa wanaosema Toyota zipo less secured ila je hata ingekuwa ni Range Rover apo angetoka mtu pamoja na ma airbag yote!?