Kwahiyo kwaya hamna hivi utafika mbinguni wewe..??
KabisaaVipaji zamani asee sikuhizi amapiano tu UJUMBE utaukuta kwenye magitaa ya umeme na vinanda

Ilikua inatukumbusha ngwengwe ipo..ilitufanya tukasoma bila michezo mibaya...Starehe ya Feruzi ilikuwa inapigwa kila siku Kwenye tv enzi hizo,
Best bongo rap collabo ever hands down 🙌Nime itafuta Mtazamo kweny list yako sija iona kijana hiyo list ni batili
Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
Na rich mavoko mkuuSijaiona kabwela ya stamina na belle 9
😀Kwahiyo kwaya hamna hivi utafika mbinguni wewe..??😂