Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
kwa habari nilizozipata ni kuwa serikali ina mpango wa kutengeneza koini ya jero!! ni vipi imakaaje hii?
itakuwa mzuka tuu tutaungana na nchi kama Uganda ambao tayari wanayo coin...lakini cjui itakuwa na madhara gani katika uchumi wetu wataalamu naomba mtujuzekwa habari nilizozipata ni kuwa serikali ina mpango wa kutengeneza koini ya jero!! ni vipi imakaaje hii?