Hujaeleweka, DIT unmechaguliwa kozi gani?Nimechaguliwa electrical engineering na naipenda kutoka UDSM na DIT , naombeni ushauri wa ku confrim sehemu moja
Nenda DIT utakuja unishukuru siku mojaNimechaguliwa electrical engineering na naipenda kutoka UDSM na DIT , naombeni ushauri wa ku confrim sehemu moja
Kuna utofauti kati ya technician na engineerKama unataka sifa nenda Udsm kama unataka Ujuzi nenda DIT.
Hao jamaa kutoka hivyo vyuo vyote viwili nina fanya nao kazi kwa ukaribu sana sana na uhakika na ninacho kwambia. Chaguo ni lako.
Haya mambo sometimes huchukua muda mpaka kuja kuelewa.Kuna utofauti kati ya technician na engineer
Mtego how broIla DIT noma... majamaa wanaotoka pale huwa wamoto mno. Ingawa kuacha UDSM nayo ni mtego mkubwa.
uzi ufungwe hapa.Kama unataka sifa nenda Udsm kama unataka Ujuzi nenda DIT.
Hao jamaa kutoka hivyo vyuo vyote viwili nina fanya nao kazi kwa ukaribu sana sana na uhakika na ninacho kwambia. Chaguo ni lako.
Na sisi tuliochaguliwa MUST vipi? Unafanya kazi na mtu yoyote aliyesoma MUST?Kama unataka sifa nenda Udsm kama unataka Ujuzi nenda DIT.
Hao jamaa kutoka hivyo vyuo vyote viwili nina fanya nao kazi kwa ukaribu sana sana na uhakika na ninacho kwambia. Chaguo ni lako.
Pako vizuri tu DIT ,ATC (Arusha) , MUST vyote viko poa.Na sisi tuliochaguliwa MUST vipi? Unafanya kazi na mtu yoyote aliyesoma MUST?
Tatizo UDSM wanafundisha kama secondary wana mitaala ya kizamani sana. Hutapata skills zozote ni madesa tuNimechaguliwa electrical engineering na naipenda kutoka UDSM na DIT , naombeni ushauri wa ku confrim sehemu moja