Cocacola: Resident account developer ( sales representative)

Cocacola: Resident account developer ( sales representative)

Skyblue

Senior Member
Joined
Jan 3, 2014
Posts
196
Reaction score
55
Habari wanaJF. nimepigiwa simu ya interview siku jumatano saa tano na nusu mikocheni. plz kama kuna mtu anajua interview zao zinakuwaje. Ahsante na pamoja sana
 
Ngoja nitoke hapa Tumaini University kwenye hili janga la TRA,nije nikupe desa!
Maana nakipiga Coca cola kwanza ltd,DSM! Hawa jamaa Residential Area Developer nafanya nao kazi!! In short hiyo tittle yako inatisha maana coca cola ni marekani! Zen wewe unakuja kufanya interview Coca Cola Kwanza Ltd!!
 
Ngoja nitoke hapa Tumaini University kwenye hili janga la TRA,nije nikupe desa!
Maana nakipiga Coca cola kwanza ltd,DSM! Hawa jamaa Residential Area Developer nafanya nao kazi!! In short hiyo tittle yako inatisha maana coca cola ni marekani! Zen wewe unakuja kufanya interview Coca Cola Kwanza Ltd!!

sawa mkuu nakusubiri Nakutakia kila la kheri kwenye hiyo interview yako
 
NIlishatoka mkuu, ngoja nitulie tuanze mikakati

sorry. MAWAZO UJENZI naomba nisaidie hawa coca interview zao zinafanykia hapohapo mikocheni au . hafu vipi wanalipa vizur. Ahsante mchana mwema
 
sorry. MAWAZO UJENZI naomba nisaidie hawa coca interview zao zinafanykia hapohapo mikocheni au . hafu vipi wanalipa vizur. Ahsante mchana mwema

We si umepigiwa na wamekwambia uende mikocheni?
whats wrong sasa?
Kama huna ajira huwezi kwa haraka kuhitaji kulipwa hela kubwa cha msingi jenga uzoefu..

Turudi kwenye swali lako sasa:::
Jiandae na written pamoja na oral interview kwa sababu endapo walioapply ni wengi. mfano. 200 uwezekano wa kufanya oral ni mdogo sana lakini kama ni 25 mfano tu hiyo inawezekana kufanya oral.

All the best!
 
sorry. MAWAZO UJENZI naomba nisaidie hawa coca interview zao zinafanykia hapohapo mikocheni au . hafu vipi wanalipa vizur. Ahsante mchana mwema

Zama inbox nimekutumia mazaga yote! Jiandae na written kwanza,zen oral itafuata!
Usaili sio mgumu sana just jua brand and mambo mengine madogo madogo! Kitu kinapigiwa coca cola kwanza! Hakuna cha kwenda Diamond Jubilee au Uwanja wa Taifa,
All the best!
 
We si umepigiwa na wamekwambia uende mikocheni?
whats wrong sasa?
Kama huna ajira huwezi kwa haraka kuhitaji kulipwa hela kubwa cha msingi jenga uzoefu..

Turudi kwenye swali lako sasa:::
Jiandae na written pamoja na oral interview kwa sababu endapo walioapply ni wengi. mfano. 200 uwezekano wa kufanya oral ni mdogo sana lakini kama ni 25 mfano tu hiyo inawezekana kufanya oral.

All the best!

Ahsante. kiongozi nimekupata vyema
 
Zama inbox nimekutumia mazaga yote! Jiandae na written kwanza,zen oral itafuata!
Usaili sio mgumu sana just jua brand and mambo mengine madogo madogo! Kitu kinapigiwa coca cola kwanza! Hakuna cha kwenda Diamond Jubilee au Uwanja wa Taifa,
All the best!

hahahaha duh kiongozi unanikumbusha machungu yaani bongo shiida interview uwanja wa taifa kama game ya simba vs yanga. Ahsante have a good evening
 
hahahaha duh kiongozi unanikumbusha machungu yaani bongo shiida interview uwanja wa taifa kama game ya simba vs yanga. Ahsante have a good evening


Coca cola kwanza wameita watu kwa interview ya pili trh 29 Dec.
 
Coca cola kwanza wameita watu kwa interview ya pili trh 29 Dec.

walifanya interview ya pili tarehe 29.12.2014 zilikuwa mbili moja oral na wabongo tu, sikuhiyo hiyo ikafanyika nyingine ya mzungu na wabongo afu wakasema watawapigia simi
 
walifanya interview ya pili tarehe 29.12.2014 zilikuwa mbili moja oral na wabongo tu, sikuhiyo hiyo ikafanyika nyingine ya mzungu na wabongo afu wakasema watawapigia simi

Mhhhhhh mbona 29/12 bado hatujafika? Leo 26/12 mkuu mbona unakilbiza siku? Umeahidiwa nini 29/12??
 
walifanya interview ya pili tarehe 29.12.2014 zilikuwa mbili moja oral na wabongo tu, sikuhiyo hiyo ikafanyika nyingine ya mzungu na wabongo afu wakasema watawapigia simi

We mkuu una calender ya peke yako nini leo tarehe 26.12.2014 au unaongelea 29.12.2013.
 
walifanya interview ya pili tarehe 29.12.2014 zilikuwa mbili moja oral na wabongo tu, sikuhiyo hiyo ikafanyika nyingine ya mzungu na wabongo afu wakasema watawapigia simi

duuuuuh...hii kali ya mwaka ww jamaa uko sayari ya mars nn? nimeamin kwel unemployment ni tatizo kubwa!
 
Wakuu, Nawambeni radhi Kwa kukosea kuandika tarehe, si uzuzu bali ni typing error tu!!

Very sorry!!
 
Wale waliofanya interview za oral mbili kwa siku hiyo hiyo tujuzane kama wameita watu wakuu manake mwaka ndiyo umeanza hivyo....kuko kimya kabisa
 
Back
Top Bottom