Com nyakipambo
Member
- Apr 30, 2013
- 68
- 3
pamoja!
Wale waliofanya interview za oral mbili kwa siku hiyo hiyo tujuzane kama wameita watu wakuu manake mwaka ndiyo umeanza hivyo....kuko kimya kabisa
Habar wanajf namshukuru mungu nimeitwa interview ya pili yaani oral Hapo coca cola. Nipeni idea huwa inakuaje .....inafanyka tar 13 saa nne. kama kuna wengne combaya kujuzana
Wakuu kimya sana vipi???
Wamelala sheikh.
walisema wataanza kupiga simu tarehe 15 kuitwa kazini.
Mkuu kuna vijana wameanza kazi tayari,baadhi yao nimewaon mwenyewe wakijaza form za bima,nssf,na kusign barua ya ajira