CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 943
Umeona ehee!ni kweli kaka,hata madem kwa koka na chips wanakua walaini na wanafunguka haraka
Umeona ehee!ni kweli kaka,hata madem kwa koka na chips wanakua walaini na wanafunguka haraka
Na mimi ambae sinywi Coca?
Safi sana kwa hiyo Coka ni bora katika kusafisha mwili kuliko zile detox za Askofu Gamanywa
Na mimi ambae sinywi Coca?
coca ina asili ya kutoa kutu.
juzi nilikuwa nakwenda morogoro,nimepanda basi la ABOOD,tumefika maeneo ya ruvu darajani,tairi moja la nyuma likapata pancha,tukatelemka ili wabadilishe tairi,wakaanza kazi ya kufungua tairi hilo,kaka nut zikawa ngumu sana kufunguka,huwa wanatumia bomba fulani[mtalimbo] wanaingiza spana kisha wanabembea,zile nut zilikuwa zimekazwa ile mbaya!hadi mabaunsa 3 wananing'inia hazifunguki jasho limewatoka.MUNGU sio mzee mkumba kama asemavyo Mbwiga,likatokea lori kubwa la mafuta likasimama,kwa mbele,akaja tingo akawaambia nenda ukanunue soda aina ya coca cola /Pepsi ulete hapa,kweli tingo wa bac akafanya hivyo,jamaa akaifungua ile soda aina ya coca cola na kuzimwagia zile nuts zote,kisha akawambia haya fungueni Ebwana zimekuwa laini kama unanawa vile!watu wote tuliona kama maajabu!!!!!!!Sasa kwa wataalam wa chemistry hii inakuwaje?au ndio maana wa2 wenye ulcers wanakatazwa kunya soda aina hizi??MIMI COCA/PEPSI BASI TENA KAMA KUTU INA LAINIKA VILE SEMBUSE TUMBO!!!!:yield:
juzi nilikuwa nakwenda morogoro,nimepanda basi la ABOOD,tumefika maeneo ya ruvu darajani,tairi moja la nyuma likapata pancha,tukatelemka ili wabadilishe tairi,wakaanza kazi ya kufungua tairi hilo,kaka nut zikawa ngumu sana kufunguka,huwa wanatumia bomba fulani[mtalimbo] wanaingiza spana kisha wanabembea,zile nut zilikuwa zimekazwa ile mbaya!hadi mabaunsa 3 wananing'inia hazifunguki jasho limewatoka.MUNGU sio mzee mkumba kama asemavyo Mbwiga,likatokea lori kubwa la mafuta likasimama,kwa mbele,akaja tingo akawaambia nenda ukanunue soda aina ya coca cola /Pepsi ulete hapa,kweli tingo wa bac akafanya hivyo,jamaa akaifungua ile soda aina ya coca cola na kuzimwagia zile nuts zote,kisha akawambia haya fungueni Ebwana zimekuwa laini kama unanawa vile!watu wote tuliona kama maajabu!!!!!!!Sasa kwa wataalam wa chemistry hii inakuwaje?au ndio maana wa2 wenye ulcers wanakatazwa kunya soda aina hizi??MIMI COCA/PEPSI BASI TENA KAMA KUTU INA LAINIKA VILE SEMBUSE TUMBO!!!!:yield:
juzi nilikuwa nakwenda morogoro,nimepanda basi la ABOOD,tumefika maeneo ya ruvu darajani,tairi moja la nyuma likapata pancha,tukatelemka ili wabadilishe tairi,wakaanza kazi ya kufungua tairi hilo,kaka nut zikawa ngumu sana kufunguka,huwa wanatumia bomba fulani[mtalimbo] wanaingiza spana kisha wanabembea,zile nut zilikuwa zimekazwa ile mbaya!hadi mabaunsa 3 wananing'inia hazifunguki jasho limewatoka.MUNGU sio mzee mkumba kama asemavyo Mbwiga,likatokea lori kubwa la mafuta likasimama,kwa mbele,akaja tingo akawaambia nenda ukanunue soda aina ya coca cola /Pepsi ulete hapa,kweli tingo wa bac akafanya hivyo,jamaa akaifungua ile soda aina ya coca cola na kuzimwagia zile nuts zote,kisha akawambia haya fungueni Ebwana zimekuwa laini kama unanawa vile!watu wote tuliona kama maajabu!!!!!!!Sasa kwa wataalam wa chemistry hii inakuwaje?au ndio maana wa2 wenye ulcers wanakatazwa kunya soda aina hizi??MIMI COCA/PEPSI BASI TENA KAMA KUTU INA LAINIKA VILE SEMBUSE TUMBO!!!!:yield:
juzi nilikuwa nakwenda morogoro,nimepanda basi la ABOOD,tumefika maeneo ya ruvu darajani,tairi moja la nyuma likapata pancha,tukatelemka ili wabadilishe tairi,wakaanza kazi ya kufungua tairi hilo,kaka nut zikawa ngumu sana kufunguka,huwa wanatumia bomba fulani[mtalimbo] wanaingiza spana kisha wanabembea,zile nut zilikuwa zimekazwa ile mbaya!hadi mabaunsa 3 wananing'inia hazifunguki jasho limewatoka.MUNGU sio mzee mkumba kama asemavyo Mbwiga,likatokea lori kubwa la mafuta likasimama,kwa mbele,akaja tingo akawaambia nenda ukanunue soda aina ya coca cola /Pepsi ulete hapa,kweli tingo wa bac akafanya hivyo,jamaa akaifungua ile soda aina ya coca cola na kuzimwagia zile nuts zote,kisha akawambia haya fungueni Ebwana zimekuwa laini kama unanawa vile!watu wote tuliona kama maajabu!!!!!!!Sasa kwa wataalam wa chemistry hii inakuwaje?au ndio maana wa2 wenye ulcers wanakatazwa kunya soda aina hizi??MIMI COCA/PEPSI BASI TENA KAMA KUTU INA LAINIKA VILE SEMBUSE TUMBO!!!!:yield:
Iogopeni kama"UKOMA"Inapunguza nguvu za kiume kwa kiasi kikubwa sana!juzi nilikuwa nakwenda morogoro,nimepanda basi la ABOOD,tumefika maeneo ya ruvu darajani,tairi moja la nyuma likapata pancha,tukatelemka ili wabadilishe tairi,wakaanza kazi ya kufungua tairi hilo,kaka nut zikawa ngumu sana kufunguka,huwa wanatumia bomba fulani[mtalimbo] wanaingiza spana kisha wanabembea,zile nut zilikuwa zimekazwa ile mbaya!hadi mabaunsa 3 wananing'inia hazifunguki jasho limewatoka.MUNGU sio mzee mkumba kama asemavyo Mbwiga,likatokea lori kubwa la mafuta likasimama,kwa mbele,akaja tingo akawaambia nenda ukanunue soda aina ya coca cola /Pepsi ulete hapa,kweli tingo wa bac akafanya hivyo,jamaa akaifungua ile soda aina ya coca cola na kuzimwagia zile nuts zote,kisha akawambia haya fungueni Ebwana zimekuwa laini kama unanawa vile!watu wote tuliona kama maajabu!!!!!!!Sasa kwa wataalam wa chemistry hii inakuwaje?au ndio maana wa2 wenye ulcers wanakatazwa kunya soda aina hizi??MIMI COCA/PEPSI BASI TENA KAMA KUTU INA LAINIKA VILE SEMBUSE TUMBO!!!!:yield:
Hii ndio pointi ya msingi. Unadhani ingekuwa na madhara ya kufa mtu WHO na TBS wangewapa Coca ama Pepsi certificate ya usalama kwa matumizi ya binadamu? Think twice.
Iogopeni kama"UKOMA"Inapunguza nguvu za kiume kwa kiasi kikubwa sana!