Chuo cha MUCCoBS waliita usahili tarehe 27/04/2012 ila tulikuwa na transcript tulitakaliwa kufanya usahili. COASCO hata mi sijui..
haamanishi za muccobs
kuna nafas za utumishi walitangaza chini ya wizara ya kilimo na ushirika
maafisa ushirika grade 11/cooperative officers grade 11
wametoa shortlist??