Media zetu zimebaki kuonyesha bongo muvi na bongo fleva za nyege nyegezi habari za uchunguzi hawana habari nazo.
Genge la kina Balile TEF kazi yao ni kumsifia mama badala ya kusimamia maadili ya uandishi wa habari.
Kina Ayo, Mahela macho ni kwenye vibahasha na kuhudhuria matamsha ya misosi na ya taarabu za Kizimkazi na kuripoti matukio ya harusi.
Shame you all Tanzania Media, journalists, na mabaraza yenu yote, jukwaa la wahariri TEF shame on you ikiwemo wizara ya habari, jifunzeni hata kwa Media za majirani zenu Kenya.
Pia soma > CNN Evidence: Tanzania Police Killed Protestors
Genge la kina Balile TEF kazi yao ni kumsifia mama badala ya kusimamia maadili ya uandishi wa habari.
Kina Ayo, Mahela macho ni kwenye vibahasha na kuhudhuria matamsha ya misosi na ya taarabu za Kizimkazi na kuripoti matukio ya harusi.
Shame you all Tanzania Media, journalists, na mabaraza yenu yote, jukwaa la wahariri TEF shame on you ikiwemo wizara ya habari, jifunzeni hata kwa Media za majirani zenu Kenya.
Pia soma > CNN Evidence: Tanzania Police Killed Protestors