Ni kweli kabisa mkuu.
Mostly kwenye neno la Mungu, Wakenya wanajiuliza sana,kwanini watanzania badala ya kulitangaza na kufundisha neno la Mungu, huwa wanazungumzia majini, watu kupelekwa chini ya bahari, watu kunyeshwa damu za watu, na wenyewe wanashangaa kuona mpaka baadhi ya redio zikitangaza hadharani haya mambo.
Mostly kwenye neno la Mungu, Wakenya wanajiuliza sana,kwanini watanzania badala ya kulitangaza na kufundisha neno la Mungu, huwa wanazungumzia majini, watu kupelekwa chini ya bahari, watu kunyeshwa damu za watu, na wenyewe wanashangaa kuona mpaka baadhi ya redio zikitangaza hadharani haya mambo.