Club za Martial Arts Dar/Tanzania

Game Theory

Platinum Member
Sep 5, 2006
8,545
835
Nakumbuka enzi za akina sensei Mawala na Malaika ...hawa jamaa kwa Dar walikuwa wanafanya shughuli zao pale YMCA na Shule ya Zanaki

Sasa najiuliza kama kweli hao niliowataja walikuwa na committment wameshindwa hvipi after all these years kutafuta sehemu hata central Dar chini ya mwamvuli wa foundation yao then wakapadizaini (Lat time I checked Mawala was a consultant wa majengo)...au waka lobby kisha wapewe mmoja kati ya majengo wanayokaa wahindi mjini?

I mean after all these years jamaa hawana sehemu decent ya kufanyia mazoezi na maonyesho yao ilihali matajiri kibao wanao mle au ndio mambo yetu ya internal politics? Jap sidhani kama hii ina nafasi kwani hawa watu wa martial arts wana discipline ya kusikilizana

unless Im missing something

hebu nijuzeni tafadhali
 
Nakumbuka enzi za akina sensei Mawala na Malaika ...hawa jamaa kwa Dar walikuwa wanafanya shughuli zao pale YMCA na Shule ya Zanaki

Sasa najiuliza kama kweli hao niliowataja walikuwa na committment wameshindwa hvipi after all these years kutafuta sehemu hata central Dar chini ya mwamvuli wa foundation yao then wakapadizaini (Lat time I checked Mawala was a consultant wa majengo)...au waka lobby kisha wapewe mmoja kati ya majengo wanayokaa wahindi mjini?

I mean after all these years jamaa hawana sehemu decent ya kufanyia mazoezi na maonyesho yao ilihali matajiri kibao wanao mle au ndio mambo yetu ya internal politics? Jap sidhani kama hii ina nafasi kwani hawa watu wa martial arts wana discipline ya kusikilizana

unless Im missing something

hebu nijuzeni tafadhali

Kwa kupokonywa, kutaifishwa, au?!

Or... why don't they just approach one of the well performing social funds in the country to erect a deservingly permanent home for them!!
 
acheni wahindi wafaidi majengo ya mjini kwa raha zao, ujinga wenu wabongo ndio unaowamaliza, mkija kuwa smart kama wahindi ndipo mtastahili hayo, lakini nyinyi hamna time ya maendeleo, mnafikiria urahirahisi tu, uvivu, jeuri, kulakula ovya na vyakula vyenyewe mataputapu si mnaona vitumbo vya mafuta na hewa kooote nchini? kazi kuongelea siasa tu? hamna ubunivu hata wa kutengeneza viatu au vibiriti? wenye vihela hukimbia dubai kununua takataka badala ya kuanzisha kiwanda kiddddogo au kilimo japo cha mbogamboga? pole africa, kwa kweli itachukua muda.....
 
manina
acheni wahindi wafaidi majengo ya mjini kwa raha zao, ujinga wenu wabongo ndio unaowamaliza, mkija kuwa smart kama wahindi ndipo mtastahili hayo, lakini nyinyi hamna time ya maendeleo, mnafikiria urahirahisi tu, uvivu, jeuri, kulakula ovya na vyakula vyenyewe mataputapu si mnaona vitumbo vya mafuta na hewa kooote nchini? kazi kuongelea siasa tu? hamna ubunivu hata wa kutengeneza viatu au vibiriti? wenye vihela hukimbia dubai kununua takataka badala ya kuanzisha kiwanda kiddddogo au kilimo japo cha mbogamboga? pole africa, kwa kweli itachukua muda.....
 
Nakumbuka enzi za akina sensei Mawala na Malaika ...hawa jamaa kwa Dar walikuwa wanafanya shughuli zao pale YMCA na Shule ya Zanaki

Sasa najiuliza kama kweli hao niliowataja walikuwa na committment wameshindwa hvipi after all these years kutafuta sehemu hata central Dar chini ya mwamvuli wa foundation yao then wakapadizaini (Lat time I checked Mawala was a consultant wa majengo)...au waka lobby kisha wapewe mmoja kati ya majengo wanayokaa wahindi mjini?

I mean after all these years jamaa hawana sehemu decent ya kufanyia mazoezi na maonyesho yao ilihali matajiri kibao wanao mle au ndio mambo yetu ya internal politics? Jap sidhani kama hii ina nafasi kwani hawa watu wa martial arts wana discipline ya kusikilizana

unless Im missing something

hebu nijuzeni tafadhali

ni kweli Mkuu, nilikuwa naona Sensei Henry akiwa na Dojo yake pale Mazense na kuna kipindi Sempai Magoma alikuwa na Dojo yake maeneo ya Kinondoni akiwa na style yake mpya aliyoianzisha mwenyewe
Pia kulikuwa na Jamaa wa Temeke Judo, sijuhi waliishia wapi lakini kwenye 80's walikuwa wapo juu sana
Mawalla nadhani hata hayo mambo keshaacha, maana mara ya mwisho nilipomuona alikuwa na mwili wa kizembe kabisa,
lakini Mkuu una point hao jamaa walianza zamani wakati hata nyumba na viwanja vilikuwa chini sana,
 
Back
Top Bottom