cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,766
- 73,433
Huwa siji sana ila ntajipanga nije kwa ajilo yako na mziki ofkoz
Poa poa.. mie pia sio mja kila weekend.. nikiamua nafululiza 3 au 4 then natulia.. uroda hapa mie ufika baada ya sita usiku..
Huwa siji sana ila ntajipanga nije kwa ajilo yako na mziki ofkoz
Hahaha,
Hivi umeelewa hata nlichoandika hapo ??
Coco bwana, nimesema siwezi kuonana na wewe hata wakinilazimisha kwa bunduki.
Wala sijakutukana mkuu....Makonda Oyee.
HahahahahaHa ha haaaaaa
Oyeeee huku nabugi ya enziiiii eeeeh
Anhaaa yeahPoa poa.. mie pia sio mja kila weekend.. nikiamua nafululiza 3 au 4 then natulia.. uroda hapa mie ufika baada ya sita usiku..
Kama upo hapo basi kutakua na totozi za kufa mtu ngoja nijeHa ha haaaaa
Acha uongo eeeeh
Jaribu lingine
Kasie naomba nikulipie nauli ya kuja DAR Tucheze wote mziki mpaka asubuhi kisha kila mtu kwake,hakuna yale mambo yetu ya Enzi zile Mazengo roadKasie mie napenda sana kucheza mziki hasa old school, siku nikipata off nikaja Dar ntafika hapo nicheze mziki weeh hadi ashiki ziishe.
Hapo wanapiga mziki jumamosi tuu? kuna kiingilio na kama kipo ni shilingi ngapi?
Nataka siku nikija hapo niwe mwenyewe sitaki kuzongwa zongwa ili nicheze mziki kisawasawa. Maana najua nikija na mbambiaji ikifika saa saba au nane usiku atasema tukalale wakati mie ni hadi mziki uzimwe ndo natoka ukumbini.
Ntashukuru kwa taarifa ili niiweke kwenye ratiba zangu. Pia utoe location ilipo hiyo club.
Kama upo hapo basi kutakua na totozi za kufa mtu ngoja nije
Kasie naomba nikulipie nauli ya kuja DAR Tucheze wote mziki mpaka asubuhi kisha kila mtu kwake,hakuna yale mambo yetu ya Enzi zile Mazengo road
Kama ni wa mwaka 90 huwezi jua anamaanisha nn anapozungumza juu ya JDs entertainment!Wewe unajipa promo sio