Clouds yaipotezea UKAWA

Akili ndogo utaijua tu. Kwa hiyo hao watangazaji wako wawili ndio watanzania wote unaosema wamekerekwa na ukawa. Very poor mind, very poor thinking.

Akiri yako ndogo sana! Unadhani waTanzania wote wana akiri kama ya ukawa??!. Utakuwa failure ktk maisha yako angalia sasa katiba inapitishwa nyie toeni macho tu.
 
Akiri yako ndogo sana! Unadhani waTanzania wote wana akiri kama ya ukawa??!. Utakuwa failure ktk maisha yako angalia sasa katiba inapitishwa nyie toeni macho tu.

wewe msugua makalio ndio utakae teseka na hicho kitabu cha ccm we subiri wamalizie kukikarafati ndo utajua. sahizi jifanye hamnazo
 
Hivi Kuna Watz bado wanasikiliza hiyo radio ya mashoga?
 

Kwa taarifa kuna siri kubwa sana ambayo watanzania hawajajua,ni kwamba clouds ishanunuliwa na Rostam na mahirika wake Lowassa tangu mwaka Jana,fuatilieni hii taarifa halafu mtajua ninachozungumza hapa,nawasilisha
 
Hivi Kuna Watz bado wanasikiliza hiyo radio ya mashoga?

Na Jana Nimethibitisha. Kuna mtu walikuwa wanamuhoji anasema ni mwalimu sijui wa wapi mwanaume lakini alikuwa na walakini mkubwa kwenye mambo na jinsi alivyokuwa anaongea. Alikuwa anajiwa na Gea habib na Ben Kinyaiya
 
Samahani Clouds ndio nini ? au ndio kile kituo cha redio cha mkude simba !! tufafanulie kidogo ili tuielewe hii habari. kama ni kituo cha redio naomba mnitajie mita band ili niisikilize tafadhari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…