Miaka 93 sio haba.Mzee anahali mbaya kweli wamemchoka
Mkulu akae chonjo, jeshi linamuona anavyobomoa bomoaWakae chonjo mkulu anawaona
Kweli mkuuu,,,ila usijaliHilo neno nimeliandika kwa kujiuliza sanaa nkajua lazima nimekosea mahala... Hakuna namna elimu ya ccm sio ya uhakika imenipa athari kubwa sana sio kiswahili sio kingereza
Alafu anatokea MTU anasema mahakama ya kimataifa IPO kwa ajili ya waafrika tuuMiaka 93 sio haba.
apumzike tu
Ndio waafrika haoAlafu anatokea MTU anasrma mahakama ya kimataifa IPO kwa ajili ya waafrika tuu
Nashangaaa sana now daiz kunamapinduzi ya kijeshi?namwambia jamaa yangu akasema hamna hawaweziii,,Mara anasikia wamewekwa chini ya ulinzi kachokaaaaaNdio waafrika hao
Ajiandae kusikia makubwa zaid ya hayo. Huko UgandaNashangaaa sana now daiz kunamapinduzi ya kijeshi?namwambia jamaa yangu akasema hamna hawaweziii,,Mara anasikia wamewekwa chini ya ulinzi kachokaaaaa
Majibuuuuu?Ndio waafrika hao
Leo kwenye straight talk africa, mtangazaji akauliza je libya kulikuwa na development au economic growth ?
Mchangiaji akakubali kulikuwa na economic growth lakini social growth haikuwepo hivyo kukosa nguvu ya kusema libya ilikuwa na development.Majibuuuuu?
Hao si ndo walipiga kelele kwa nini Burundi ifanyiwe uchunguzi wakimataifa?wakaishutumu mahakama ya kimataifaAjiandae kusikia makubwa zaid ya hayo. Huko Uganda
Akili za viongoz wa africa mashariki zinataka kufanana, japo wapo ambao ni smarter.Hao si ndo walipiga kelele kwa nini Burundi ifanyiwe uchunguzi wakimataifa?wakaishutumu majakama
tv la matangazo tu mimi nitatangaza nini labda Dr Shiku tuWe jamaa ulijuaje hili ama nawe ni miongoni mwao??