herrypeter1
JF-Expert Member
- Jan 17, 2009
- 223
- 30
Kuna jambo la kipuuzi ambalo kama mwananchi mzalendo inabidi kulifikiri nikawaza ivi jaydee akipata nafasi ya kwenda kuwakilisha Nchi Clouds hamtatangaza? Acheni wivu wa kurudisha maendeleo nyuma kwa kuruka jina la jaydee katika list.