Nimekuwa nikifatilia hii channel via startives taklibani miezi miwili sasa, hii cahnnel imekuwa ikiniboa sana kwa kukosekana kwa sauti,yani unaangalia picha tu kama unaangalia album, tunaomba uongozi wa clouds ukishrikiana na startimes mshughulikie tatizo hilo kwa tunakosa uhondo wa sportbar!ni hilo tu