Clouds TV mnatia aibu!

wanaboa sana
 
Imeanza lini hiyo chanel? Ndio hawa wanamiliki na clouds fm? Nway labda bado hawajazoea..
 
kuna kile cha asubuh 360, dah! jamaa wanaichukulia poa sana tasnia ya uandishi.

we acha tu cha hovyo sana....hawajitambui kabisa...nafuu Sam sasaly Lakin yule Hudson kamoga bogus hatari hana ufaham wa mambo mengi sana...yupo yupo tu...
 
Yani hakuna tv station mbovu tz kama Clouds tv ni mbovu mbovu kupitiliza yani nilisikia kichefuchefu nilipoangalia habari yao mm najiulizaga hawana washauri wakusema wajirekebishe. Eti taarifa ya habari inakua kama hadith ya kale yan ni ovyo kabisa wanavipindi vya kitoto sana sijui nani kawaambia wafanye vipindi vibovu hvo.
 
Jicho la mwewe anachoongea hakieleweki hovyo kabisa
 
kuna yule mtangazaji wa 360 cha asubuhi bwana kamoga hana ufaham wa mambo mengi sana anazidiwa na Sam....
Kile kipindi wanatangaza au wanapiga soga.!
 

Cloudsccm
 
Kiukweli jamaa hawakujipanga na kwa sasa nahisi wanajutia huo uamuzi. Wako very shallow in everting hata ubora wa sauti ns picha ni mbovu kushinda ile tv station ya zamani ilikuwa inaitwa c2c..

Clouds nawafananisha sana na tbc
 
Kwanini huu muda mnaotumia kusema watu msiutumie kufanya mambo ya maana labda nchi itaweza kuendelea
 
Umenifurahisha sana kwa sentensi yako ya mwisho eti kwani lazima wawe na taarifa ya habari? Binafsi nawashauri kama hawawezi kuandaa taarifa za habari wanaweza kuwa wanaweka clips za comedi tukacheka kuongeza siku za kuishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…