Clouds TV mnatia aibu!

white wizard

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2011
Posts
8,618
Reaction score
13,880
Kituo cha television cha clouds, kwa kweli kwenye upande wa tv mlikuwa hamjajipanga kabisa kifupi mlikurupuka!!

Kwani haiwezekani kwa matukio ya habari yanayotokea nchini kila siku, nyie mnakuwa na habari moja tu!

Mfano leo local news wametangaza habari moja tu, na jicho la mwewe, eti taarifa ya habari imekwisha!!!

Kwani lazima muwe na taarifa za habari??!!
 
hawa jamaa bado kabisa kwenye upande wa tv kuanzia taarifa ya habari ni kama ngonjera au kama mtu anasimulia hadithi then upande wa graphics wapo nyuma sana compere to EATV
 

Harafu upande wa tv wanawatangazaji wa hovyo haihawah kutokea.wanaleta usera kila sehem.mi nishaachaga kuangalia hiyo tv.Bora umcheki hata mwingira kuliko clouds
 

unapokaa inashika clouds tu?
 

Kiukweli jamaa hawakujipanga na kwa sasa nahisi wanajutia huo uamuzi. Wako very shallow in everting hata ubora wa sauti ns picha ni mbovu kushinda ile tv station ya zamani ilikuwa inaitwa c2c..
 
Azam wamejipanga. Wamechelewa lakini wameleta mapinduzi ya Broadcasting.

Lakini pesa pia inahitajika kufanya kazi nzuri.

Ruge na Kusaga tushazoea kusikia wanawabania watangazaji wao, kuwapa mikataba finyu etc.
 
juzi wametangazwa kuwa tv station inayopendwa zaid tz
wametangazwa na nani mkuu au ww ndo unawatangaza hapa!!?? Bahati nzuri me natumia dstv sina hiyo takataka kwenye kisimbusi changu.
 
clouds hawana jipya kuanzia tv mpaka redio matangazo kibao na mtangazaji akisema kweli unawekwa pending kama dinamarios wa leo tena
 
Clouds taarifa yao ya habari utafikiri mtu anasoma nasaha kwa wanandoa..harusini.tafuteni waandaaji habari na wasomaji habari..mtuondelee huo ushuzi mnasuma kama mnakimbizwa
 
kiufupi they are not creative n they are exploiters of the workers
 
unapokaa inashika clouds tu?

sio hivyo mkuu, unajua wao taarifa ya habari huwa ni mapema saa. 19.30hrs,sasa wakati nasubiria baba lao ITV, naona ngoja ni tune hapo!! yaani ni majanga kweli taarifa ya habari nzima una leta habari moja??! wakati kuna matukio mengine makubwa yametokea hapa hapa dsm, hawana!! mala jicho la mwewe!! kwanza kuna kipindi waliaanza na simulizi za babu kabla ya habari husika,. Yaani ni full comedi, ila leo ndio wameua kabisa habari moja tu taarifa nzima!!
 
tv hovyo ile sijawahi ona hakuna kipindi hata kimoja cha maana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…