Mambo ya mahusiano yanajadiriwa bila staha mchana kweupe. Nyie waandaaji nani kati yenu anaweza angalia likipindi hili na familia yake? TCRA hivi ndivyo mnataka jamii ya wa Tanzania tuelekee. Kwanini wasirushe kipindi hiki usiku. Yaani hili TV sijui ikoje? Mnatuharibia watoto jameni.