Clouds TV/FM wanadharau walimu

Clouds TV/FM wanadharau walimu

JEMEDARI .H.

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2012
Posts
341
Reaction score
63
Nimekerwa sana na kitendo cha clouds tv na radio kuunga mkono raia wanaodharau walimu na kutojua umuhimu wa elimu,yaan mtu anakwenda shuleni kufanya fujo halafu wao wanaunga mkono wamenikera mno.
 
Mjinga akielimishwa hujiona kana kwamba yuko juu ya mwalimu wake,hawa wa..p..u..v wanajiona wanajua kuliko wengine
 
Hata Siku Moja Mwanafunzi Hamzidi Maarifa Mwl Wake .Ni Utoto Wakutojua Kesho ,,,bado Watanzania Wanakasumba Ya Kujifunza Kutokana Na Makosa .,waache Hao Wakina Chitemo.
 
Nimekerwa sana na kitendo cha clouds tv na radio kuunga mkono raia wanaodharau walimu na kutojua umuhimu wa elimu,yaan mtu anakwenda shuleni kufanya fujo halafu wao wanaunga mkono wamenikera mno.

Unatafuta mkunaji akukune ama?

Mjinga akielimishwa hujiona kana kwamba yuko juu ya mwalimu wake,hawa wa..p..u..v wanajiona wanajua kuliko wengine
 
Nimekerwa sana na kitendo cha clouds tv na radio kuunga mkono raia wanaodharau walimu na kutojua umuhimu wa elimu,yaan mtu anakwenda shuleni kufanya fujo halafu wao wanaunga mkono wamenikera mno.

Dah jamani hawa clouds mshawasema saaaana!! Waacheni wapumuwe Sasa huwezi kuisikiliza acha!!
 
Unatafuta mkunaji akukune ama?

upele huo umemwambukiza wewe? Mbona unamng'ang'ania kumkuna ili hali nawe una hali hiyohiyo ya kuwashwa? Umewahi mno kujitokeza na unaonyesha ulihusika kuitengeneza hiyo habari tajwa. Nawafahamu na kuujua uwezo wenu mdogo wa kuchambua na kuwakilisha hoja kuwa ni mdogo mno kwani hata darasani mlitusumbua sana kwa uwezo wenu mdogo. Mlio wengi nimewafundishia pale jack pub iliyopo karibu na mahakama ya kinondoni enzi zile za 2umaini university ikiwa hapo. Jirekebisheni na muache kushabikia vurugu za wazazi mashuleni kwani hamuijengi jamii yenye maadili mema bali mabovu kama mliyo nayo. Na mkileta jeuri na kiburi nituanika udhaifu wenu wote nilowafundishia tuition jack pub. Pia mjifunze kuwaheshimu walimu kwani bila wao ungekuwa unachunga mbuzi kwenu!
 
Hawana maadili wale jamaa,kwanza baraza la kiswahili linataka kuwafungulia kesi kwa kuongoza kuharibu lugha ya kiswahili bado tu wanaendelea kuzarau waalimu namna hiyo?
 
Hawana maadili wale jamaa,kwanza baraza la kiswahili linataka kuwafungulia kesi kwa kuongoza kuharibu lugha ya kiswahili bado tu wanaendelea kuzarau waalimu namna hiyo?


Halafu hizo stesheni ni kama vile hazina uongozi, mara kadhaa watangazaji wamekuwa na maneno ya kuwakwaza wengine lakini hatusikii wakionywa maana wangekuwa wanaonywa basi tungetegemea kutoendelea kuwepo kwa makwazo siku hadi siku

Dawa ni kususa kusikiliza na kutazama hizo stesheni ili wajifunze kuwa uwepo wao katika kazi unatokana na wasikilizaji na watazamaji wa vipindi na wala siyo ubishoo na dharau walizonazo
 
Nimekerwa sana na kitendo cha clouds tv na radio kuunga mkono raia wanaodharau walimu na kutojua umuhimu wa elimu,yaan mtu anakwenda shuleni kufanya fujo halafu wao wanaunga mkono wamenikera mno.

Watu wenyewe ni sampuli ya Kibonde, what did you expect?
 
Ile radio au mkusanyiko wa madj sasa dj wanaakili ganikama sio kuona watu wamehatebikiwa ili wajae kumbini zao waipiga mziki
 
Nimekerwa sana na kitendo cha clouds tv na radio kuunga mkono raia wanaodharau walimu na kutojua umuhimu wa elimu,yaan mtu anakwenda shuleni kufanya fujo halafu wao wanaunga mkono wamenikera mno.

Sio kila mtu anasikiliza hio redio weka kisa kizima ili tujue kulikoni thn tuchangie???
 
Nimekerwa sana na kitendo cha clouds tv na radio kuunga mkono raia wanaodharau walimu na kutojua umuhimu wa elimu,yaan mtu anakwenda shuleni kufanya fujo halafu wao wanaunga mkono wamenikera mno.
He mleta mada je uliona tukio Zima? Au kwa kuwa ni Clouds wameripoti ndio unawasema hivyo.? Kama Great thinker nadhani tunawajibu wa kuwa neutral! No matter nani karipoti kitendo alichoana mwalmu Mkuu ni cha kiuaji!!!!!! Je ulimuona mtoo wyule mama baada tukio? No this is not acceptable in Tanzania! N j ulisikia huyu mmaaikuwa anapeleka nini? Michango ya kulipalimnzi! Jukmu hili ni laserekali! Lkn mama wa watu kwa hali yake aliyoayo kapeleka huo mchango! Return yake ndio hiyo. (Siungi mkonoabia mbaya yoyote aiyoonyesha yule mama\) Lakini\ML mkuu hakupwa hata u kukiri unyama aliouanya!
 
He mleta mada je uliona tukio Zima? Au kwa kuwa ni Clouds wameripoti ndio unawasema hivyo.? Kama Great thinker nadhani tunawajibu wa kuwa neutral! No matter nani karipoti kitendo alichoana mwalmu Mkuu ni cha kiuaji!!!!!! Je ulimuona mtoo wyule mama baada tukio? No this is not acceptable in Tanzania! N j ulisikia huyu mmaaikuwa anapeleka nini? Michango ya kulipalimnzi! Jukmu hili ni laserekali! Lkn mama wa watu kwa hali yake aliyoayo kapeleka huo mchango! Return yake ndio hiyo. (Siungi mkonoabia mbaya yoyote aiyoonyesha yule mama\) Lakini\ML mkuu hakupwa hata u kukiri unyama aliouanya!

ndugu mwana jf hiyo sio haki. Hivi unavyopost siunakua na uwezo wa kurekebisha uandishi wako? Tatizo nini unashindwa kuandika kama mtu mwenye utimamu!? Aibu sana hii tujirekebishe wandugu.
 
He mleta mada je uliona tukio Zima? Au kwa kuwa ni Clouds wameripoti ndio unawasema hivyo.? Kama Great thinker nadhani tunawajibu wa kuwa neutral! No matter nani karipoti kitendo alichoana mwalmu Mkuu ni cha kiuaji!!!!!! Je ulimuona mtoo wyule mama baada tukio? No this is not acceptable in Tanzania! N j ulisikia huyu mmaaikuwa anapeleka nini? Michango ya kulipalimnzi! Jukmu hili ni laserekali! Lkn mama wa watu kwa hali yake aliyoayo kapeleka huo mchango! Return yake ndio hiyo. (Siungi mkonoabia mbaya yoyote aiyoonyesha yule mama\) Lakini\ML mkuu hakupwa hata u kukiri unyama aliouanya!
tumewachoka clouds tunashindwa kusikiliza sana kwa maneno yenu ya uchonganishi aisee hebu badilikeni aisee
 
He mleta mada je uliona tukio Zima? Au kwa kuwa ni Clouds wameripoti ndio unawasema hivyo.? Kama Great thinker nadhani tunawajibu wa kuwa neutral! No matter nani karipoti kitendo alichoana mwalmu Mkuu ni cha kiuaji!!!!!! Je ulimuona mtoo wyule mama baada tukio? No this is not acceptable in Tanzania! N j ulisikia huyu mmaaikuwa anapeleka nini? Michango ya kulipalimnzi! Jukmu hili ni laserekali! Lkn mama wa watu kwa hali yake aliyoayo kapeleka huo mchango! Return yake ndio hiyo. (Siungi mkonoabia mbaya yoyote aiyoonyesha yule mama\) Lakini\ML mkuu hakupwa hata u kukiri unyama aliouanya!
Mkuu siku nyingine jaribu kupitia ulichoandika kabla ya kupost.
 
Mbona maelezo ya shutma hayajtoshelezi? Usiiskilize tena. Tuachie sisi.
 
PHP:
He mleta mada je uliona tukio Zima? Au kwa kuwa ni Clouds wameripoti ndio unawasema hivyo.? Kama Great thinker nadhani tunawajibu wa kuwa neutral! No matter nani karipoti kitendo alichoana mwalmu Mkuu ni cha kiuaji!!!!!! Je ulimuona mtoo wyule mama baada tukio? No this is not acceptable in Tanzania! N j ulisikia huyu mmaaikuwa anapeleka nini? Michango ya kulipalimnzi! Jukmu hili ni laserekali! Lkn mama wa watu kwa hali yake aliyoayo kapeleka huo mchango! Return yake ndio hiyo. (Siungi mkonoabia mbaya yoyote aiyoonyesha yule mama\) Lakini\ML mkuu hakupwa hata u kukiri unyama aliouanya!
Mwana, kuna tuisheni nzuri ya Kiswahili pale kwa Kadege Sinza Shekilango; itakusaidia sana kuandika vizuri
 
Back
Top Bottom