Clouds nimewanyooshea mikonoo!

Clouds nimewanyooshea mikonoo!

hawa ndio wale kwa Necta walikuwa wanajibu Nusu wanaacha wanahamia swali jengine
 
Show inayoendelea sasa hivi,luh!Ni ubunifu mkuuubwa!Huyu jamaa Koyo ni hatari mno!!
Kwa mara ya kwanza,nawapongeza sana!
Ila akiingia wcb tu,kwisha habari yake!
Dah, mkuu,mbona kichwa cha habari ba habari havina uhusiano? Au ndio promo ya bure ambayo hulipii?

Vv
 
Back
Top Bottom