Clouds Media ya kubeba lawama kwa wasanii wote wa kizazi kipya kilichopita

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Feb 1, 2023
3,611
8,740
Poleni wasanii wote mliopitia ugumu wa clouds media kabla Youtube na stream nyingi kuibuka kuwakomboa.

Kiukweli wasanii wengi wamepitia kwenye changamoto sana media hii ikiambatishwa na mameneja wao pamoja na studio.

Haya yote kuona wasanii wengine kuibuka kwenye madawa,kuwa walevi,wengine kurudi kwenye dini,wengine kukubali matokeo na biashara wazijuwavo wao.

Wasanii wengi kipindi cha clouds media wametumika sana kwa ujira mdogo.

Mamilioni yaliyokusanywa na Fresta kupitia clouds na mambo mengine yamefaidisha clouds media.

Mumemaliza vipaji vya watu sana kwa kutumia media yenu mpaka ikafikia marehemu ruge kashikilia kila mziki na matakwa.

Ilifikia watangazi na madj wa redio ndio wakawa wanafanya nani msanii wa kutoka nani asitoke.

Mmefanya wasanii wengi kupotea mpaka wengine vifo kuwakuta.

Japo kuwa wasanii wanaogopa na washapotea wengine lakini kumbuka haki zenu mlizopoteza kuwa zimeacha alama ya mziki.
 
Poleni wasanii wote mliopitia ugumu wa clouds media kabla Youtube na stream nyingi kuibuka kuwakomboa.

Kiukweli wasanii wengi wamepitia kwenye changamoto sana media hii ikiambatishwa na mameneja wao pamoja na studio.

Haya yote kuona wasanii wengine kuibuka kwenye madawa,kuwa walevi,wengine kurudi kwenye dini,wengine kukubali matokeo na biashara wazijuwavo wao.

Wasanii wengi kipindi cha clouds media wametumika sana kwa ujira mdogo.

Mamilioni yaliyokusanywa na Fresta kupitia clouds na mambo mengine yamefaidisha clouds media.

Mumemaliza vipaji vya watu sana kwa kutumia media yenu mpaka ikafikia marehemu ruge kashikilia kila mziki na matakwa.

Ilifikia watangazi na madj wa redio ndio wakawa wanafanya nani msanii wa kutoka nani asitoke.

Mmefanya wasanii wengi kupotea mpaka wengine vifo kuwakuta.

Japo kuwa wasanii wanaogopa na washapotea wengine lakini kumbuka haki zenu mlizopoteza kuwa zimeacha alama ya mziki.
kwamba they were responsible kwa maendeleo ya wasanii? Mi nafikiri walikuwa wanafanya biashara ya muziki na burdani ... thats why kuna waliokubaliana na kuna waliokataa .

Kituo kinabuni events ... kina brand events na wahusika watakaokuwepo .. kinafanya promotion kwa gharama zake.

kile siyo kituo cha umma kwamba kinapewa ruzuku ili kujiendesha ... ukiwaangalia kwa upande wa biashara they were right.
 
Poleni wasanii wote mliopitia ugumu wa clouds media kabla Youtube na stream nyingi kuibuka kuwakomboa.

Kiukweli wasanii wengi wamepitia kwenye changamoto sana media hii ikiambatishwa na mameneja wao pamoja na studio.

Haya yote kuona wasanii wengine kuibuka kwenye madawa,kuwa walevi,wengine kurudi kwenye dini,wengine kukubali matokeo na biashara wazijuwavo wao.

Wasanii wengi kipindi cha clouds media wametumika sana kwa ujira mdogo.

Mamilioni yaliyokusanywa na Fresta kupitia clouds na mambo mengine yamefaidisha clouds media.

Mumemaliza vipaji vya watu sana kwa kutumia media yenu mpaka ikafikia marehemu ruge kashikilia kila mziki na matakwa.

Ilifikia watangazi na madj wa redio ndio wakawa wanafanya nani msanii wa kutoka nani asitoke.

Mmefanya wasanii wengi kupotea mpaka wengine vifo kuwakuta.

Japo kuwa wasanii wanaogopa na washapotea wengine lakini kumbuka haki zenu mlizopoteza kuwa zimeacha alama ya mziki.
Hizi lawama zinafurahisha kweli.

Wasanii wa zamani si kwamba walikuwa hawapati pesa, pesa walikuwa wanapata nyingi tu kutokana na wakati husika.

Sema maisha waliyokuwa wanaishi ni kama ya kwenye movie za mablack America starehe na maisha ya kuigiza. Soggy doggy ndiye huwa anajua toa story vizuri.

Mtu anaenda kwenye show anaongozana na wapambe, anapiga show malipo yote ya show wanayatumbya huko huko kisa anajua kuna show nyingine atapata.

Watu waliokuwa smart mbona walisurvive, check akina AY, FA, Profesa, Sugu.

Nilimsikiliza Mr Blu kwenye kipindi cha salama, naye alipata pesa akaishi same life style mpaka anaishi kimuziki hakuna alilofanya. Akaishia zamia UK lakini bahati nzuri alirejea TZ, akaja na ngoma ya Pesa akapata showz na hapo ndipo akaanza kuwekeza. Lakini before that hakuna alilofanya.

Kama mnailaumu clouds misisahau kulaumu na mameneja kama akina Saod Fella, Babu Tale maana pia wao walikuwa wanamiliki wasanii wengi mashuhuri wa zamani ambao nao mpaka sasa ni choka.

Pia kuna wasanii ambao walikuwa chini ya MJ na Bongo records wanatengeneza album wanagawana mapato na wamiliki wa studio.
 
Lawama gani hizi wakati wale ndio waliowaibua? Kwanza walikuwa na programu maalumu ya kupromote muziki huo enzi hizo unaanza. Kulikuwa kuna media chache sana kuweza kupromoti muziki huo. Clouds wanastahili kupongezwa na si kulaumiwa
 
Sometime sielewi hizi lawama, EATV ,ITV na star Tv zilikuwepo kwanini hao wasanii wasingepeleka huko kazi au ku organize matamasha yao kama afanyavyo Nandy
 
Sometime sielewi hizi lawama, EATV ,ITV na star Tv zilikuwepo kwanini hao wasanii wasingepeleka huko kazi au ku organize matamasha yao kama afanyavyo Nandy
Wakati zamani wasani walikuwa wana perform bure tu jukwani hata 100 walikuwa hawapati
Wakaja watu wakautengeneza mziki uwe biashara +wapate kipato,na kweli wakapata

Ova
 
Back
Top Bottom