CLOUDS MEDIA VS E MEDIA (efm, tve) SPECIAL THREAD.

CLOUDS MEDIA VS E MEDIA (efm, tve) SPECIAL THREAD.

Akilidebe

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2018
Posts
204
Reaction score
124
Habari wanajamvi, Leo nimependa kuwaletea uzi huu unaohusu Media zenye ushindani kwa sasa hapa nchini.

Binafsi natabiri anguko la mmoja wao kati ya clouds na tve. Kama ilivotokea kwa clouds kumuangusha EATV.

Ubunifu utasababisha media nyingine kuwa dominant. Kwa sasa media zote mbili zinajitahidi kuonyesha Ubunifu japo clouds ndio yupo huu.

Lakini pia, clouds kwa sasa inapitia misukosuko baada ya kutofautiana na baadhi ya wasanii. Mbali na hivyo clouds wanatuhumiwa kunyonya wasanii yaani wao "ndo wanaamua Nani atoke, na Nani asitoke"

Kwa upande wa E MEDIA, kuna watu wanawachukia kwa sababu ya kumkumbatia "Bashite" (kumradhi)

Kila media ina tamasha la burudani: clouds wana FIESTA, tve wana KOMAA CONCERT

clouds: AMKA DUNIA INA KUSUBIRI, KATAA KUA KAA.
Tve: Hatupoi

Nini maoni yako??
 
Back
Top Bottom