20% bangi zinampeleka vibaya,clouds walichomoa tangia mwanzo kupiga nyimbo zake lakini Magic walikuwa wanazitwanga tu mpaka zikavuma na hapo ndio clouds wakaona hamna jinsi maana wasikilizaji wanazirequest sana ila alivyonyea kambi ya Magic chini ya Man Maji(Water) hapo ndio kajichimbia shimo.