Clouds kwa hili la Clouds Plus mmezidi!

TCRA walisema local Chanel ni free matokeo yake ni kinyume chake mpaka Waziri aongee ndiyo utaona wanakurupuka.
 
Mkuu aisee hata me nimeshangaa jaman ndio hivyo tunaopenda ile channel inabidi tujiunge tu kwa shingo upande ila hawatutendei hakiii kabisaa
Polee sana

Au achana nayoo
 
Pamoja sana mkuu.
 
Sina king'amuzi cha azam ila kama anafanya hivi alipaswa kuwa na kisumbuzi chake mwenyewe ama hii gharama iwe inclusive kwenye bundle la azam.... Vinginevyo kuna udhaifu kwenye regulatory organ ambayo ni tcra na sisi watumiaji tusikae na kushangilia kisa ww unauwezo wa kulipia separate..
Mbaya zaidi hiyo channel haina lolote la maana, utumbo mtupu. Angeanzisha tu na yeye king'amuzi chake afanye aina ya biashara aitakayo.

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wacheni kulia lia lia kama watoto,Hiyo ni Biashara na kila Biashara kuna faida na hasara
Utaki na unaona ghalia achana nao na hata hao AZAM waache angalia TBC na ZBC..
 
Upuuz tu MI ni.eipotezea,channel yenyewe haina lolote LA maana movie zilezile za hovyo haraf zinarudiwa kupita kiasi,aanzishe nayeye king'amuz chake sio kutuletea malipo juu ya malipo
 
Alafu inascratch kinoma... muvi zile zile zisizo na kiwango... muvi moja kila siku inarudiwa bora angekua wanaonyesha za mbele sawa
 
Hayo ya kulipia pesa channel zingine sio geni kama umeshayaona kabla.. kama ni ngeni kwako badi anza kuzoea.. ndio maisha hayo
 
Pambana na hali yako acha kulalama!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Stop complaining brother....

Starehe gharama, pay for it or leave it...

Unataka watu waumize vichwa kufanya innovation halafu wewe ujipatie service bure....wa wapi wewe???
Au kwa roho yako mbaya unaona Ruge ataapaata???

You are such a disgrace!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo mengine yawe nami mapka basis hata kma kutafuta cyo tena kihivi yani ulipie king'amuzi alafu bado tena ulipie channel iliyoopo kwenye king'amuzi yani ni swa nakulipia ving'amuzi viwili kwa wakati mmoja wapiga dili bado wapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…